unaekutana nae katika daladala na wa humu tofauti iko wapi??? kaka hizi za online inaonekana bado mgeni sana kuonana sura jamani si ndo kazi ya video call au unahisi tunapendania hapa hapa katika maandishi na kingine, sio kila anae kuzunguka analikasasa kama hajaona chaguo lake kwa woote wanaomzunguka ,atajaliona kwa asiowafahamu hata sura? ,sina shaka kwamba hakuna kitu kama hicho