Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 465
- 2,484
Wakuu heshima zenu kuna jambo hapa iko hivi. Maisha ya wanawake naona km wao wana mambo mengi wanayofanya kila siku tena mara nyingi zaidi ya wanaume.
Namba tatu (3) sina uhakika sana ila wanawake kongole kwao wanachangamsha ulimwengu toka kwa enzi za mzee Adam
MAMBO HIZO NI KAMA-
1. kuongea maneno mengi sana kwa siku
2. kubadili nguo zaid ya mara tatu kwa siku
3. Kwenda chooni mara nyingi zaidi
4. Kuomba misaada ( pesa, kusindikizwa, kubeba n.k)
5. Kula/kutafuna misosi mara nying zaidi
6. Kujiangalia/kujikagua ktk kioo
7. kuoga oga
8.
9.
Namba tatu (3) sina uhakika sana ila wanawake kongole kwao wanachangamsha ulimwengu toka kwa enzi za mzee Adam
MAMBO HIZO NI KAMA-
1. kuongea maneno mengi sana kwa siku
2. kubadili nguo zaid ya mara tatu kwa siku
3. Kwenda chooni mara nyingi zaidi
4. Kuomba misaada ( pesa, kusindikizwa, kubeba n.k)
5. Kula/kutafuna misosi mara nying zaidi
6. Kujiangalia/kujikagua ktk kioo
7. kuoga oga
8.
9.