Uchaguzi 2020 Wanawake walioshinda na kushindwa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu, 2020

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,191
4,104
Katika uchaguzi mkuu huu wanawake hawakubaki nyuma kuwania nafasi za uongozi kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani. Wapo walioibuka kidedea ba wapo walioangukia pua, na hiyo ndio democrasia.

Yafuatayo ni majina na matokeo yao kama yao kama nitakavyoya

>Ngazi ya ubunge

Walioshinda
1. Tulia Ackson (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini
2. Ana Richard Lupembe (CCM) Jimbo la Nsimbo,
.4. Shamsia Mtamba (CUF) Jimbo la Mtwara mjini
5.Jesca Msambatavangu (CCM) Jimbo la Iringa Mjini
6.Maimuna Mtanda (CCM) Jimbo la Newala Vijijini
7. Pro. Joyce Ndalichako{CCM} Jimbo la Kasulu Mjini
8. Angelina Mabula (CCM) JImbo la Ilemela
9. Ummy Mwalimu (CCM) Jimbo la Tanga Mjini

Walioshindwa
1.Neema Stephen- Demokrasia Makini - Jimbo la Moshi Mjini
2. Fatuma Linus - Jimbo la Moshi mjini
3. Rehema Nkoha- CHADEMA- jimbo la Singida mjini
4. Hawa ghasia (CCM) Jimbo la Mtwara mjini
5. Salome Makamba (CHADEMA)JImbo la Shinyanga Mjini
6.Rhoda Kunchela (CHADEMA) Jimbo la Mpanda Mjini
7.Cessilia Ndossi(CHADEMA) Jimbo la Monduli
8. Cecilia Ndosi (CHADEMA) Jimbo la Monduli
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
10.Ester Bulaya (CHADEMA) Jimbo la Bunda Mjini
11.Aisha Luja (CHADEMA) Jimbo la Manyoni Mashariki
12.Grace Jekela (NCCR Mageuzi)Jimbo la Makete
13. Mwanaisha Mndeme (ACT) Jimbo la Kigamboni
14. Magreth Kyai (CHADEMA) Jimbo la Nkenge
15. Hadija Mwago (CHADEMA) JImbo la Mbagala
 
Walioshindwa.
1. Ester Bulaya😞
2. Matiko 😥

Dah...Ingawa sipo upande wa fulani, lakini hizi siasa za upande mmoja hazina mvuto. Faraja yetu ya kuzungumza siasa na hoja au vurugu za bungeni zimekinaishwa. Sifurahishwi na ushindi huu....
 
Walioshindwa.
1. Ester Bulaya😞
2. Matiko 😥



Dah...Ingawa sipo upande wa fulani, lakini hizi siasa za upande mmoja hazina mvuto. Faraja yetu ya kuzungumza siasa na hoja au vurugu za bungeni zimekinaishwa. Sifurahishwi na ushindi huu....
Wewe ni CHADEMA usijifiche chini ya kivuli cha mti
 
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Kwani wamefikisha 5% ya uwakilishi majimboni kama sheria inavyotaka? Au wapeleke tu kinyume na sheria? Kwa mfano wasipopeleka nini kitatokea?
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Unakalishwa wewe
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
najuta kuwa na jina la baba Kama lako so foolish,lazima ugumu uwepo raha ipatikane ngoja chadema waumie ila nchi ipate inachostahili uchaguzi ujao kidogo watakuwa na akili,vikwazo vi njiani
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
OK,sawasawa,kama ni suala la ajira kwa wanawake wa chadema hasa waliogombea majimboni wapelelekwe tu,ila si kuendeleza demokrasia bali ni kuwapa ajira kwa kigezo cha kuwa wanawake.Huu utakuwa ni muendelezo wa siasa za kinafiki.Nchi hii ni kubwa kama hao wanawake wanahitajika nini kinachelewesha majina yao yasiwasilishwe? Michezo mingine ni ya hovyo sana kupangwa bila kufikiria athari zake kwa anayepanga.Siasa zina utashi na haiba zake ziachwe zifuate mkondo wake
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Tatizo la chadema wanamsikiliza makamu wa Mweneyekiti badala ya mfia chama Mwenyekiti, Mbowe anawachora tu anasubiri wakwae kisiki ndipo ataingia. Lissu kukimbilia ulaya kushitaki haitamsadia sana, Maalimu Seif tangu 1995 amekuwa akikimbilia ulaya kushitaki bila kuwa na uthibitisho wa kudhulumiwa matokeo. HAHAHAHAH wadhungu wamekuwa wakimchora tu, huku wakiendelea kushirikiana kwa karibu sana na serikali kwa maslahi mapana sana ya nchi hizo. Lissu anapita nyayo hizo, mwisho wa siku hatapata anachotafuta nachama kitakuwa kimedhoofika.
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Mnafiki Mkubwa.....Hauoni aibu Daaah!!!!!. Subiria Uteuzi Mkuu unatoa pintless hadi lini
 
Tatizo la chadema wanamsikiliza makamu wa Mweneyekiti badala ya mfia chama Mwenyekiti, Mbowe anawachora tu anasubiri wakwae kisiki ndipo ataingia. Lissu kukimbilia ulaya kushitaki haitamsadia sana, Maalimu Seif tangu 1995 amekuwa akikimbilia ulaya kushitaki bila kuwa na uthibitisho wa kudhulumiwa matokeo. HAHAHAHAH wadhungu wamekuwa wakimchora tu, huku wakiendelea kushirikiana kwa karibu sana na serikali kwa maslahi mapana sana ya nchi hizo. Lissu anapita nyayo hizo, mwisho wa siku hatapata anachotafuta nachama kitakuwa kimedhoofika.
Hacha Ushamba na ujinga , hachana na LISSU or CHADEMA Pigeni kazi Hamna wa Kuwakwamisha...Tuone Maendeleo Mliyoyachagua....
 
Katika uchaguzi mkuu huu wanawake hawakubaki nyuma kuwania nafasi za uongozi kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani. Wapo walioibuka kidedea ba wapo walioangukia pua, na hiyo ndio democrasia.

Yafuatayo ni majina na matokeo yao kama yao kama nitakavyoya

>Ngazi ya ubunge

Walioshinda
1. Tulia Ackson (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini
2. Ana Richard Lupembe (CCM) Jimbo la Nsimbo,
.4. Shamsia Mtamba (CUF) Jimbo la Mtwara mjini
5.Jesca Msambatavangu (CCM) Jimbo la Iringa Mjini
6.Maimuna Mtanda (CCM) Jimbo la Newala Vijijini
7. Pro. Joyce Ndalichako{CCM} Jimbo la Kasulu Mjini
8. Angelina Mabula (CCM) JImbo la Ilemela
9. Ummy Mwalimu (CCM) Jimbo la Tanga Mjini

Walioshindwa
1.Neema Stephen- Demokrasia Makini - Jimbo la Moshi Mjini
2. Fatuma Linus - Jimbo la Moshi mjini
3. Rehema Nkoha- CHADEMA- jimbo la Singida mjini
4. Hawa ghasia (CCM) Jimbo la Mtwara mjini
5. Salome Makamba (CHADEMA)JImbo la Shinyanga Mjini
6.Rhoda Kunchela (CHADEMA) Jimbo la Mpanda Mjini
7.Cessilia Ndossi(CHADEMA) Jimbo la Monduli
8. Cecilia Ndosi (CHADEMA) Jimbo la Monduli
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
10.Ester Bulaya (CHADEMA) Jimbo la Bunda Mjini
11.Aisha Luja (CHADEMA) Jimbo la Manyoni Mashariki
12.Grace Jekela (NCCR Mageuzi)Jimbo la Makete
13. Mwanaisha Mndeme (ACT) Jimbo la Kigamboni
14. Magreth Kyai (CHADEMA) Jimbo la Nkenge
15. Hadija Mwago (CHADEMA) JImbo la Mbagala

Katika uchaguzi mkuu huu wanawake hawakubaki nyuma kuwania nafasi za uongozi kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani. Wapo walioibuka kidedea ba wapo walioangukia pua, na hiyo ndio democrasia.

Yafuatayo ni majina na matokeo yao kama yao kama nitakavyoya

>Ngazi ya ubunge

Walioshinda
1. Tulia Ackson (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini
2. Ana Richard Lupembe (CCM) Jimbo la Nsimbo,
.4. Shamsia Mtamba (CUF) Jimbo la Mtwara mjini
5.Jesca Msambatavangu (CCM) Jimbo la Iringa Mjini
6.Maimuna Mtanda (CCM) Jimbo la Newala Vijijini
7. Pro. Joyce Ndalichako{CCM} Jimbo la Kasulu Mjini
8. Angelina Mabula (CCM) JImbo la Ilemela
9. Ummy Mwalimu (CCM) Jimbo la Tanga Mjini

Walioshindwa
1.Neema Stephen- Demokrasia Makini - Jimbo la Moshi Mjini
2. Fatuma Linus - Jimbo la Moshi mjini
3. Rehema Nkoha- CHADEMA- jimbo la Singida mjini
4. Hawa ghasia (CCM) Jimbo la Mtwara mjini
5. Salome Makamba (CHADEMA)JImbo la Shinyanga Mjini
6.Rhoda Kunchela (CHADEMA) Jimbo la Mpanda Mjini
7.Cessilia Ndossi(CHADEMA) Jimbo la Monduli
8. Cecilia Ndosi (CHADEMA) Jimbo la Monduli
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
10.Ester Bulaya (CHADEMA) Jimbo la Bunda Mjini
11.Aisha Luja (CHADEMA) Jimbo la Manyoni Mashariki
12.Grace Jekela (NCCR Mageuzi)Jimbo la Makete
13. Mwanaisha Mndeme (ACT) Jimbo la Kigamboni
14. Magreth Kyai (CHADEMA) Jimbo la Nkenge
15. Hadija Mwago (CHADEMA) JImbo la Mbagala
Sema WALIOTANGAZWA KUSHINDA. uchaguzi siyo mashindano ya mbio anayeongoza unamuona mwanzo hadi mwisho, tunapiga kura hatujui box litaongezwa au lilikuwa na kura ukimaliza hakuna kukaa karibu na kituo la utakamatwa au kupigwa, ndani wanachohesabu siye hatupo, mawakala wengi walizuiwa, wa ndani wanaweza kutishwa au kurubiniwa, maana simu na camera marufuku. Hakuna anayeruhusiwa kujumlisha matokeo "tallying"
 
Walioshindwa.
1. Ester Bulaya😞
2. Matiko 😥

Dah...Ingawa sipo upande wa fulani, lakini hizi siasa za upande mmoja hazina mvuto. Faraja yetu ya kuzungumza siasa na hoja au vurugu za bungeni zimekinaishwa. Sifurahishwi na ushindi huu....
Uamuzi wa wananchi ni wa mwisho! Hata wao siku wanashinda wapo walioshindwa kama wao mwaka huu!
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P

dah!
Inakuuma nini wasipo kuwepo?
kwani wamekuambia kuwa hawana ajira nyingine?
huoni kupeleka ni kuhalalisha bunge hili lilojaa damu na machozi?
 
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.

Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.

P
Wewe kweli si mzima kumbe Ubunge ni ajira siku hizi so pale serikali inajivunia imetoa ajira lol kazi kweli kweli
 
Katika uchaguzi mkuu huu wanawake hawakubaki nyuma kuwania nafasi za uongozi kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani. Wapo walioibuka kidedea ba wapo walioangukia pua, na hiyo ndio democrasia.

Yafuatayo ni majina na matokeo yao kama yao kama nitakavyoya

>Ngazi ya ubunge

Walioshinda
1. Tulia Ackson (CCM) Jimbo la Mbeya Mjini
2. Ana Richard Lupembe (CCM) Jimbo la Nsimbo,
.4. Shamsia Mtamba (CUF) Jimbo la Mtwara mjini
5.Jesca Msambatavangu (CCM) Jimbo la Iringa Mjini
6.Maimuna Mtanda (CCM) Jimbo la Newala Vijijini
7. Pro. Joyce Ndalichako{CCM} Jimbo la Kasulu Mjini
8. Angelina Mabula (CCM) JImbo la Ilemela
9. Ummy Mwalimu (CCM) Jimbo la Tanga Mjini

Walioshindwa
1.Neema Stephen- Demokrasia Makini - Jimbo la Moshi Mjini
2. Fatuma Linus - Jimbo la Moshi mjini
3. Rehema Nkoha- CHADEMA- jimbo la Singida mjini
4. Hawa ghasia (CCM) Jimbo la Mtwara mjini
5. Salome Makamba (CHADEMA)JImbo la Shinyanga Mjini
6.Rhoda Kunchela (CHADEMA) Jimbo la Mpanda Mjini
7.Cessilia Ndossi(CHADEMA) Jimbo la Monduli
8. Cecilia Ndosi (CHADEMA) Jimbo la Monduli
9.Upendo Furaha Peneza (CHADEMA) Jimbo la Geita Mijini
10.Ester Bulaya (CHADEMA) Jimbo la Bunda Mjini
11.Aisha Luja (CHADEMA) Jimbo la Manyoni Mashariki
12.Grace Jekela (NCCR Mageuzi)Jimbo la Makete
13. Mwanaisha Mndeme (ACT) Jimbo la Kigamboni
14. Magreth Kyai (CHADEMA) Jimbo la Nkenge
15. Hadija Mwago (CHADEMA) JImbo la Mbagala
Catherine Ruge hakugombea
 
Back
Top Bottom