Wanawake wakati mwingine, hapana jamani!

kwetumasoko

JF-Expert Member
Aug 24, 2016
866
509
Wana jamii

Kuna mwanamke mmoja nimezoeana nae sana kwa issue za kiofisi, lakini huwa tunapiga story mbalimbali kama dada yangu ambaye namuhushimu sana na pia kama mteja na yeye mara nyingi huwa anakuja ofisini kwangu kwa ajili ya huduma mbalimbali. Kwa kweli tumezoeana sana

Wakati mwingine anakuja, ananiambia nina shida sina pesa ya ada kwa ajili ya mtoto, huwa nampa. Mara ooo sina pesa ya matumizi nampa. Mara nikopeshe pesa kwa ajili ya kupeleka VICOBA, huwa nampa na wala harudishi.

Sasa juzi kaniomba nimkopeshe pesa, na anadai kuwa atanipa baada ya mwezi mmoja, mi nikamwambi kwa sasa pesa sina, ningekuwa nayo ningekupa. Nimefanya hivo kwa sababu najua nikimpa tu ndo imekwenda hiyo, hairudi tena.

Tulipoonana, naona mtu kanuna wala hataki kunisalimu kabisa. Nkajiuliza ina maana tatizo ni pesa? Hapo sina mahusiano naye kabisa ya kimapenzi, ingekuwa hivo si anaweza kunitoa roho!

Hivi wanawake hiyo ni tabia yenu mpaka mnajisahahu kana kwamba imefikia mahala rafiki tu kiume unamfanya kama mpenzi wako jamani au mmeo?
 
Itabidi ukae kimya kidogo kama njia ya kumuonyesha kuwa hukupendezwa na hyo tabia yake,na epuka majibizano ili asije ku take advantage ukawa wewe ndio umekosea,
 
Wana jamii

Kuna mwanamke mmoja nimezoeana nae sana kwa issue za kiofisi, lakini huwa tunapiga story mbalimbali kama dada yangu ambaye namuhushimu sana na pia kama mteja na yeye mara nyingi huwa anakuja ofisini kwangu kwa ajili ya huduma mbalimbali. Kwa kweli tumezoeana sana

Wakati mwingine anakuja, ananiambia nina shida sina pesa ya ada kwa ajili ya mtoto, huwa nampa. Mara ooo sina pesa ya matumizi nampa. Mara nikopeshe pesa kwa ajili ya kupeleka VICOBA, huwa nampa na wala harudishi.

Sasa juzi kaniomba nimkopeshe pesa, na anadai kuwa atanipa baada ya mwezi mmoja, mi nikamwambi kwa sasa pesa sina, ningekuwa nayo ningekupa. Nimefanya hivo kwa sababu najua nikimpa tu ndo imekwenda hiyo, hairudi tena.

Tulipoonana, naona mtu kanuna wala hataki kunisalimu kabisa. Nkajiuliza ina maana tatizo ni pesa? Hapo sina mahusiano naye kabisa ya kimapenzi, ingekuwa hivo si anaweza kunitoa roho!

Hivi wanawake hiyo ni tabia yenu mpaka mnajisahahu kana kwamba imefikia mahala rafiki tu kiume unamfanya kama mpenzi wako jamani au mmeo?
Acha kuwaendekeza, huwa wanapenda pesa kama mfuko. Mimi huwa naomba game mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Akinipa poa, ntamlipa. Akichomoa, asepe na wala tusikaribiane.
 
Hayo maneno ya kwenye aya ya mwisho ungemwambia mhusika ungekua umemsaidia sana aisee wewe kama unahisi kuna sehemu haiko sawa
 
Sasa kama ulikua ukimpatia hela harudishi na umekua ukiendelea kumpatia kwanini uache ghafla tu? Au labda ulikua unasubiria akupe k kama fadhila afu mwenyewe ndo hana habari...
 
Wana jamii

Kuna mwanamke mmoja nimezoeana nae sana kwa issue za kiofisi, lakini huwa tunapiga story mbalimbali kama dada yangu ambaye namuhushimu sana na pia kama mteja na yeye mara nyingi huwa anakuja ofisini kwangu kwa ajili ya huduma mbalimbali. Kwa kweli tumezoeana sana

Wakati mwingine anakuja, ananiambia nina shida sina pesa ya ada kwa ajili ya mtoto, huwa nampa. Mara ooo sina pesa ya matumizi nampa. Mara nikopeshe pesa kwa ajili ya kupeleka VICOBA, huwa nampa na wala harudishi.

Sasa juzi kaniomba nimkopeshe pesa, na anadai kuwa atanipa baada ya mwezi mmoja, mi nikamwambi kwa sasa pesa sina, ningekuwa nayo ningekupa. Nimefanya hivo kwa sababu najua nikimpa tu ndo imekwenda hiyo, hairudi tena.

Tulipoonana, naona mtu kanuna wala hataki kunisalimu kabisa. Nkajiuliza ina maana tatizo ni pesa? Hapo sina mahusiano naye kabisa ya kimapenzi, ingekuwa hivo si anaweza kunitoa roho!

Hivi wanawake hiyo ni tabia yenu mpaka mnajisahahu kana kwamba imefikia mahala rafiki tu kiume unamfanya kama mpenzi wako jamani au mmeo?
Mpotezee tu hana maana kabisa huyo
 
Acha kuwaendekeza, huwa wanapenda pesa kama mfuko. Mimi huwa naomba game mapemaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Akinipa poa, ntamlipa. Akichomoa, asepe na wala tusikaribiane.
Ha ha ha Chiwaso usiwafanyie hivo, hawa ni viumbe dhaifu inatakiwa kuishi nao kwa akili
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom