Limekuwa ni tatizo katika jamii yetu,kabla ya kuoana mwanamume huwa na hisia kali za kimapenzi kwa mchumba wake, lakini baada ya kuoana, kwa wastani wa miaka miwili mitatu hivi, mume huanza kupoteza hisia kwa mke wake, na hapo ndipo huanza kutafuta vimada nje ya ndoa. Na hii imekuwa chanzo cha mifarakano mingi katika ndoa. Ni kitu gani hasa kifanywe na wanawake hawa au wanandoa hawa kuepukana na hii hali??
Samahani:Limekuwa ni tatizo katika jamii yetu,kabla ya kuoana mwanamume huwa na hisia kali za kimapenzi kwa mchumba wake, lakini baada ya kuoana, kwa wastani wa miaka miwili mitatu hivi, mume huanza kupoteza hisia kwa mke wake, na hapo ndipo huanza kutafuta vimada nje ya ndoa. Na hii imekuwa chanzo cha mifarakano mingi katika ndoa. Ni kitu gani hasa kifanywe na wanawake hawa au wanandoa hawa kuepukana na hii hali??
Mbona nimesema hilo bht??
Mbona nimesema hilo bht??
'as if wanawake tu ndo chanzo cha haya mafarakano au mume kutoka nje ya ndoa!!! kwa nini usiseme wana ndoa wafanya nini kuepuka hili tatizo maana matatizo mengi kwenye ndoa ni contributory.
1. Ndoa siyo kifungo kifungacho milango ya ufahamu. Katika ndoa mabadiliko yategemewe ila kinachotakiwa ni kujua kuwa umeshaji commit kwa mtu uliyefunga naye ndoa.
2.Mtoa hoja anauliza wanawake wafanye nini ili waume wasipoteze hisia. Sijui kama anajua kuwa hata wanawake wanapoteza hisia kwa waume zao. Its both ways. Kinachotakiwa ni kuendelea kuheshimiana, kujitahidi kupendana, na kujua kuwa ndoa ni zaidi ya hisia za mapenzi.
Limekuwa ni tatizo katika jamii yetu,kabla ya kuoana mwanamume huwa na hisia kali za kimapenzi kwa mchumba wake,
Hisia kamwe haziwezi kubaki pale pale! Zinabadilika kama aspects nyingine katika huo uhusiano zinavyobadilika na kama walivyosema wengine hapo juu, hili si kwa wanaume tu bali hata wanawake. Sasa unafanya nini kukabiliana na mabadiliko haya au kupunguza athari za mabadiliko haya, nadhani ndio suala la msingi. Ndio maana binaadamu zaidi ya kupewa hisia akaongezewa pia na utashi!............ lakini baada ya kuoana, kwa wastani wa miaka miwili mitatu hivi, mume huanza kupoteza hisia kwa mke wake, na hapo ndipo huanza kutafuta vimada nje ya ndoa.
Mama Brian says thanks to bht for useful post!as if wanawake tu ndo chanzo cha haya mafarakano au mume kutoka nje ya ndoa!!! kwa nini usiseme wana ndoa wafanya nini kuepuka hili tatizo maana matatizo mengi kwenye ndoa ni contributory.
Tatizo ni heading yako inalenga jinsia moja usitake kukimbia ukweli analysis, other wise change your heading tutakuelewa.Mbona nimesema hilo bht??
Samahani:
Wewe umeoa / umeolewa?
Kama ndio, ndoa yako ina umri gani? Je hisia zako za kimapenzi kwa mme/mke wako zimebadilika?
Kama hujaolewa umejuaje haya mambo ya wakubwa?:closed_2: