Wanawake wachukia vitambi na wanaume

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
Hivi kwa mfano mmeoana watu wa ma fashoon mpo ndani ya ndoa mkaanza kunenepa mara vitambi vimechipua ndoa nayo inakufa?

Hizi pumba mnazifikiriaga kweli mnapowekaga hivyo vigezo?

Nataka mweusi ua maji ya kunde ikitokea kapata maugonjwa mwili umebak na makovu kama gwanda la jeshi ndoa inakufa?

Tuje hapa sijui sitaki mtu mfupi kwamba hao wafupi walizaliwa na wafupi wenzao? Subir mtoto wako uumbaji wa Mungu umpitie ndio mtajua haya mashauz yenu ya kutafuta vinono wakat huwez kuviumba

Ndoa na mahusiano ya vipindi hivi tabu tupu
 
Ninachojua na ninachoamini ni kwamba, lazima mtu achague kile kinachomfaa. hata kama utachagua namna gani ila amini hata huyo uliyembagua, atapata chaguzi lake.
Hivi kwa mfano mmeoana watu wa ma fashoon mpo ndani ya ndoa mkaanza kunenepa mara vitambi vimechipua ndoa nayo inakufa?

Hizi pumba mnazifikiriaga kweli mnapowekaga hivyo vigezo?

Nataka mweusi ua maji ya kunde ikitokea kapata maugonjwa mwili umebak na makovu kama gwanda la jeshi ndoa inakufa?

Tuje hapa sijui sitaki mtu mfupi kwamba hao wafupi walizaliwa na wafupi wenzao? Subir mtoto wako uumbaji wa Mungu umpitie ndio mtajua haya mashauz yenu ya kutafuta vinono wakat huwez kuviumba

Ndoa na mahusiano ya vipindi hivi tabu tupu
 
Ninachojua na ninachoamini ni kwamba, lazima mtu achague kile kinachomfaa. hata kama utachagua namna gani ila amini hata huyo uliyembagua, atapata chaguzi lake.

Uchaguzi upo lakini ila usiende mbali sana yaani hadi unamtengeneza binadamu unaemtaka wewe? Tunataka kujua kitambi kikichipua ndani ya ndao hivyo basi tuseme ndoa inakufa maana anakwamba simtaki na simpendi mwanaume mwenye kitambi
 
Back
Top Bottom