Wanawake wa Tanzania kuonyeshwa kupendwa na kupendelewa na 'Mwanamke Mamlaka' mwenzao ni kuwalemaza akili na si kuwajenga

Waambiwe tu Ukweli kuwa wao ni sawa sawa na Mwanaume na ndiyo maana hata Roho zetu pamoja na Mioyo yetu ni sawa na hakuna ulioandikwa ni wa Mwanaume au Mwanamke. Na hata Vitandani tukiwa ' tunabaiolojiana ' 24/7 usawa wa ' Kimihemko ' huwa unakuwepo na tunaheshimiana.

Hii ' Sumu ' iliyoanza ' Kutamalaki ' nchini Tanzania baada ya tarehe 17 Machi, 2021 ya Kuonyesha wazi wazi kuwa Watu wamedhamiria kwa Makusudi Kuwapendelea na Kuwabeba Wanawake inaweza ikawa ndiyo ' anguko ' lao Kuu la ' Kiufanisi ' katika Jamii yao husika.

Taifa la Rwanda ndiyo lilikuwa ' Kiherehere ' katika kuwapa Usawa Wanawake nchini humo katika nyanja mbalimbali za Kisiasa na Kimamla ila Leo hii Wanaume wa Rwanda ' wanajuta ' na hata Bunge la Rwanda lililopitisha nalo sasa linajuta na liko mbioni kupunguza Mamlaka ya Wanawake nchini humo.

Kwa jinsi Wanawake wa Tanzania ' wanavyodekezwa ' na ' kupendelewa ' na Mwanamke Mamlaka Mwenzao wameshaanza kujawa na Jeuri huku wengine wakisema Tanzania sasa ni yao na ipo Siku watatulazimisha hata nasi Wanaume tuanze kupeana nao zamu za Kuvaa ' Pedi ' na ' Kukuna ' Nazi Majumbani.

GENTAMYCINE ni Muumini wa Utaratibu uliowekwa hata na Mwenyezi Mungu na Mababu zetu kuwa Mwanamke atabaki tu kuwa Mwanamke, atakuwa daima chini ya Maelekezo ya Mwanaume na Kazi yake Kuu ni Kuzalishwa, Kulea Watoto na Kutunza Nyumba ( Familia ) ya zaidi ya hapo hayamuhusu na akiyafanya basi kitakuwa ni ' Kimbelenbele ' chake.

Sasa nimeshajua ni kwanini ' First Gentleman ' Mwanaume Mwenzetu Hafidh Ameir hata akionekana tu katika Majukwaa na Hadhira utaomuona ni Muoga Muoga hivi, Hajiamini na ni kama vile Nyumbani Kwake huwa anakiona cha Moto kwa Mama ' Macho Kurembua ' wa Kikatiba nchini Tanzania.

Hivyo anataka Kukiendeleza anachomfanyia Mumewe aje akifanye Kwetu Wanaume wengine au awaambukize Wanawake Wenzake wa Kitanzania ambao naona ni kama tu ' anawasakizia ' kupata ' Vipigo ' vya ' Kishalubela ' kutoka Kwetu Wanaume tunaojitambua na tusiopenda Shobo wala Upuuzi.
Kawajaza eti wao ni "tea bag",waje wakoleze rangi manyumbani. Haki ya Mungu navunja mtoto wa mwanaume mwenzangu meno. Yaani kwa mara ya kwanza Ambulance itaanzia safari kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii eneo ndo huwa naikubali Dini ya Ndugu zangu Waislamu ! Huu upuuzi umeletwa na Nchi za Magharibi nasi pasi na kuhoji kitu tumejikuta tunacheza ngoma ambayo hatujui.

Sasa hivi ukiangalia kwa "Jicho la Tai" sehemu nyingi sana fursa nyingi za kiuchumi ni kuwezesha wanawake na ndo wengi wana mshiko sasa.

Kongole GENTAMYCINE Kwa kuliona hili!
New World Order mkuu!
 
Waambiwe tu Ukweli kuwa wao ni sawa sawa na Mwanaume na ndiyo maana hata Roho zetu pamoja na Mioyo yetu ni sawa na hakuna ulioandikwa ni wa Mwanaume au Mwanamke. Na hata Vitandani tukiwa ' tunabaiolojiana ' 24/7 usawa wa ' Kimihemko ' huwa unakuwepo na tunaheshimiana.

Hii ' Sumu ' iliyoanza ' Kutamalaki ' nchini Tanzania baada ya tarehe 17 Machi, 2021 ya Kuonyesha wazi wazi kuwa Watu wamedhamiria kwa Makusudi Kuwapendelea na Kuwabeba Wanawake inaweza ikawa ndiyo ' anguko ' lao Kuu la ' Kiufanisi ' katika Jamii yao husika.

Taifa la Rwanda ndiyo lilikuwa ' Kiherehere ' katika kuwapa Usawa Wanawake nchini humo katika nyanja mbalimbali za Kisiasa na Kimamla ila Leo hii Wanaume wa Rwanda ' wanajuta ' na hata Bunge la Rwanda lililopitisha nalo sasa linajuta na liko mbioni kupunguza Mamlaka ya Wanawake nchini humo.

Kwa jinsi Wanawake wa Tanzania ' wanavyodekezwa ' na ' kupendelewa ' na Mwanamke Mamlaka Mwenzao wameshaanza kujawa na Jeuri huku wengine wakisema Tanzania sasa ni yao na ipo Siku watatulazimisha hata nasi Wanaume tuanze kupeana nao zamu za Kuvaa ' Pedi ' na ' Kukuna ' Nazi Majumbani.

GENTAMYCINE ni Muumini wa Utaratibu uliowekwa hata na Mwenyezi Mungu na Mababu zetu kuwa Mwanamke atabaki tu kuwa Mwanamke, atakuwa daima chini ya Maelekezo ya Mwanaume na Kazi yake Kuu ni Kuzalishwa, Kulea Watoto na Kutunza Nyumba ( Familia ) ya zaidi ya hapo hayamuhusu na akiyafanya basi kitakuwa ni ' Kimbelenbele ' chake.

Sasa nimeshajua ni kwanini ' First Gentleman ' Mwanaume Mwenzetu Hafidh Ameir hata akionekana tu katika Majukwaa na Hadhira utaomuona ni Muoga Muoga hivi, Hajiamini na ni kama vile Nyumbani Kwake huwa anakiona cha Moto kwa Mama ' Macho Kurembua ' wa Kikatiba nchini Tanzania.

Hivyo anataka Kukiendeleza anachomfanyia Mumewe aje akifanye Kwetu Wanaume wengine au awaambukize Wanawake Wenzake wa Kitanzania ambao naona ni kama tu ' anawasakizia ' kupata ' Vipigo ' vya ' Kishalubela ' kutoka Kwetu Wanaume tunaojitambua na tusiopenda Shobo wala Upuuzi.


Kama wewe sio mwanamke tunyamaze kuongelea mambo ya wanawake kudekezwa! wengi wetu tunakumbuka baba zetu kutoka kazini kwenda kwenye vigenge vya baa mpaka usiku bila kujua chochote nyumbani wakati mama naye ana kazi, kufanya usafi, kufuatilia watoto, kupika.... . Ni ngumu sana kutetea ule uzembe wa zamani wa wazee wetu. Mama anafanya vizuri kuwaaminisha wanawake maana wanaume pekee hatutaweza kuleta maendeleo kama ingekuwa hivyo nchi yetu ingekuwa mbali kuliko ilipo sasa
 
Bi mkubwa anataka kutupeleka kwenye 50/50 huu ni UTOPOLO Mkuu, hata vitabu vya dini halipo hilo, kazi zao na majukumu yao yanajulikana hata kibibilia na Qur'an.
 
Waambiwe tu Ukweli kuwa wao ni sawa sawa na Mwanaume na ndiyo maana hata Roho zetu pamoja na Mioyo yetu ni sawa na hakuna ulioandikwa ni wa Mwanaume au Mwanamke. Na hata Vitandani tukiwa ' tunabaiolojiana ' 24/7 usawa wa ' Kimihemko ' huwa unakuwepo na tunaheshimiana.

Hii ' Sumu ' iliyoanza ' Kutamalaki ' nchini Tanzania baada ya tarehe 17 Machi, 2021 ya Kuonyesha wazi wazi kuwa Watu wamedhamiria kwa Makusudi Kuwapendelea na Kuwabeba Wanawake inaweza ikawa ndiyo ' anguko ' lao Kuu la ' Kiufanisi ' katika Jamii yao husika.

Taifa la Rwanda ndiyo lilikuwa ' Kiherehere ' katika kuwapa Usawa Wanawake nchini humo katika nyanja mbalimbali za Kisiasa na Kimamla ila Leo hii Wanaume wa Rwanda ' wanajuta ' na hata Bunge la Rwanda lililopitisha nalo sasa linajuta na liko mbioni kupunguza Mamlaka ya Wanawake nchini humo.

Kwa jinsi Wanawake wa Tanzania ' wanavyodekezwa ' na ' kupendelewa ' na Mwanamke Mamlaka Mwenzao wameshaanza kujawa na Jeuri huku wengine wakisema Tanzania sasa ni yao na ipo Siku watatulazimisha hata nasi Wanaume tuanze kupeana nao zamu za Kuvaa ' Pedi ' na ' Kukuna ' Nazi Majumbani.

GENTAMYCINE ni Muumini wa Utaratibu uliowekwa hata na Mwenyezi Mungu na Mababu zetu kuwa Mwanamke atabaki tu kuwa Mwanamke, atakuwa daima chini ya Maelekezo ya Mwanaume na Kazi yake Kuu ni Kuzalishwa, Kulea Watoto na Kutunza Nyumba ( Familia ) ya zaidi ya hapo hayamuhusu na akiyafanya basi kitakuwa ni ' Kimbelenbele ' chake.

Sasa nimeshajua ni kwanini ' First Gentleman ' Mwanaume Mwenzetu Hafidh Ameir hata akionekana tu katika Majukwaa na Hadhira utaomuona ni Muoga Muoga hivi, Hajiamini na ni kama vile Nyumbani Kwake huwa anakiona cha Moto kwa Mama ' Macho Kurembua ' wa Kikatiba nchini Tanzania.

Hivyo anataka Kukiendeleza anachomfanyia Mumewe aje akifanye Kwetu Wanaume wengine au awaambukize Wanawake Wenzake wa Kitanzania ambao naona ni kama tu ' anawasakizia ' kupata ' Vipigo ' vya ' Kishalubela ' kutoka Kwetu Wanaume tunaojitambua na tusiopenda Shobo wala Upuuzi.
Umenena mkuu! Ila hapa sasa namm ndipo nasimamia ole wake asinijaze mimba namm. Maan ndio mojawapo ya majukumu ya usawa!!

Screenshot_20210623-153723.png
 
Back
Top Bottom