upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,072
- 4,482
Huo wazfa sio mchezo..
cheka tuu, ila sio mimi yule.. za kwake hukuziona auToka nione zile sreenshort zako alizoweka Katoto Kazuri huwa nikiona uzi wako naishia
Za kwake sikuziona mkuu ila naamini yule ni wewe mada zako zinaendana na umri wako.cheka tuu, ila sio mimi yule.. za kwake hukuziona au
Za kwake sikuziona mkuu ila naamini yule ni wewe mada zako zinaendana na umri wako.
nitakutumia za kwake ili ucheke zaidiZa kwake sikuziona mkuu ila naamini yule ni wewe mada zako zinaendana na umri wako.
Sema kweliHapa town ukiwa na mpira wa moto tu unawatafuna sana we nunua gari kali tu utawachoka tena bure hutoi hata mia
nlikutana na T 405 ASS mkuuHahahahaa...View attachment 1191027
sawasawaKatuwakilishe vyema mabaharia
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hahahahaa...View attachment 1191027
niruhusu namimi niweke zako hapa watu waone jinsi ulivyo mweupe, sema suuuZa kwake sikuziona mkuu ila naamini yule ni wewe mada zako zinaendana na umri wako.
Suuuuuuuuuniruhusu namimi niweke zako hapa watu jinsi ulivyo mweupe, sema suuu
ok wait sitaki lawamaSuuuuuuuuu
tena ukiwa na ushungi wako nakuweka hapaSuuuuuuuuu
Nimekwambia kama una picha yangu weka nimekuruhusuok wait sitaki lawama
poa subiri kidogoNimekwambia kama una picha yangu weka nimekuruhusu
njaa kaliTatizo ugumu wa maisha