figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #41
Ukitaka kufurahia mahusiano omba Mungu akufanye usiwe na wivu. Ukileta wivu na ubabe. Bora uachwe ni nafuu, wengine wanakuwekea sumu unakufa anatafuta mwanaume mwingineEti unaachwa!!!ongelea upande wako.kama we umekusudia kumuacha mmeo ni wew tu
Sent using Jamii Forums mobile app