mimi nna mpenzi wangu kwa miaka saba sasa,mimi nipo dar yeye alienda kusini kusoma,kiukweli natoa huduma zote vizuri ata yeye shahidi,siku nikaenda kumtembelea nkamfuma kwenye cmu anajamaa huko ata watu wakaniambia pia maana majirani tunafahamiana,kesi ikaenda nkamsamehe,mwaka jana nkamfuma tena na mtu uyo uyo yaan namsamehe zaidi ya mara tano namfuma namsamehe kwa mtu huyo huyo,sasa jamani mtu wa namna hiyo eti kisingizio chake hajawahi kukaa maisha ya alone thus Y anapata vishawishi eti jamani io ni sababu ya msingi kweli??mara ooh nashindwa kuelewa jamaa simpendi ila akinipigia simu najikuta napokea eti kama jamaa kamfanyia kitu anakubali tu bila kuelewa huu si uongo kbs
Sasa nimekuja kuamini usemi unaosema dont trust a women..