The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 449
Sheria sasa itatambua na kuruhusu wanawake wa Saudi Arabia kupiga kura ama kugombea kwenye chaguzi za serikali za mitaa..Nimeshangaa kwa kweli..kumbe kipindi chote hawa wanawake hawana haki ya kushiriki uchaguzi!
Kwa taarifa nlizopata ni kwamba hata kuendesha magari wanawake wa Saudia hawaruhusiwi..strange!
Kwa taarifa nlizopata ni kwamba hata kuendesha magari wanawake wa Saudia hawaruhusiwi..strange!