UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 979
Kwakweli ni shiiiidah wanawake wa leo hawajui umuhimu wa mume tatizo nini yaani kujali, kupenda, uaminifu unakuwa ziro hivi sababu za msingi ni zipi?
Unakuta mwanamke hana kazi kwa maana ni mama wa nyumbani but mume ana kazi nzuri na pesa na ana uwezo wa kung'oa demu yeyote wakati wowote, lakini ukimwona huyo mkewe alivyo na dharau utadhani anamiliki mlima Kilimanjaro kule kwa MISS CHAGA. Nini kinawafanya wanawake wa leo kuwa hivyo? Ila sweet na Salome hawahusiki.
NJOONI TUAMBIANE
Unakuta mwanamke hana kazi kwa maana ni mama wa nyumbani but mume ana kazi nzuri na pesa na ana uwezo wa kung'oa demu yeyote wakati wowote, lakini ukimwona huyo mkewe alivyo na dharau utadhani anamiliki mlima Kilimanjaro kule kwa MISS CHAGA. Nini kinawafanya wanawake wa leo kuwa hivyo? Ila sweet na Salome hawahusiki.
NJOONI TUAMBIANE