Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,809
- 8,861
masanja mafiga matatu ni msemo utumikao kuelezea jinsi wanawake au wanaume wanavyowork as mafiga matatu...mafiga ni yale mawe matatu ambayo vijijini na zamani watu walikua wakitumia kupikia..ni lazima yawe matatu ndio sufuria ikae vizuri,ukitoa hata moja tu,sufuria yaanguka atiii sasa hapo we mwenyewe fikiria wanamaanisha nini ila hint ni kuwa hautokua peke yako ukioa huko pwani...
similar mfano ni ule wanasema mwanamke wa pwani akienda kisimani kuchota maji hata kama anahitaji ndoo moja,basi ataenda na ndoo hiyo na visadolini hata viwili,anakwambia kisa ni kuwa akishajaza hiyo ndoo wakati akitembea kurudi nyumbani maji humwagikaga,so akifika hujazia na vile visadolini kwenye ile ndoo yake...
maana ni kuwa wewe ukioa wawa kama ndoo ilee,kadri siku zinavyoenda watafutiwa visadolini vya kukusaidia pale penye mapungufu babaaa!!upo hapoo???
Mtaalamu, kweli wewe mtaalam! Huo mfano wa visadolin umenirudisha mbali sana mkuu!
Thanks a bunch my friend! Ama kweli...yaani nimecheka sana......