Game theory - Kwani asiyechezwa lakini akajitafutia ujuzi na maarifa through reading, listenig etc ana tofauti gani na aliyechezwa..if I may play the devil's advocateI prefer mwanamke aliyechezwa
hivi huku pwani waweza kumkuta hata mmoja .
najua wengine mtanipinga kuwa labda niliona kama siko fiti, nikaenda kumchukua mlemavu ktk mambo hayo ili tufanane, sio, nilishakuwa na watu wa huku kibao. ila nilikuwa nawachezea tu, nilikuwa sitaki kuwaoa, kwasababu nilikuwa naona kinyaaa, nikilala nao, najua kuwa, hata wenzangu wameshalala nae hadi wamemchoka, yeye ni kama chombo tu cha starehe kwa wanaume wengi, na si ajabu pale tulipolala anamfikiria mwanaume mwingine. nilikuwa nahisi kama nimelala na sanamu tu, pamoja na kwamba wana ufundi na uzoefu mkubwa. ndo maana nikaamua kubeba mzigo mpyaaaaaa, mimi mwenyewe namfundisa na anafundishika. hivyo, wanawake wa pwani siwataki hata kuwaona.
Kidzogoale,hata sisi tukiona wanaume wenye wanawake lukuki,tunaona wahuni na hawafai,tunawashusha thamani,na kunakuwa hamna penzi asilani,ndio maana tunakuwa tunapenda pea ,maana tunajua kesho unamwingine,NA SISI TUNAPENDA WANAUME WALIUTULIA NA UPENDO WA DHATI.
hivi huku pwani waweza kumkuta hata mmoja ambaye ni bikira?kama sio bikira, utakuwa na uhakika gani kama mtu wake wa zamani umemzidi kiufundi?, nataka kumaanisha kuwa, kama mtu akioa mtu wa pwani, ajue kuwa anacho kibarua kigumu sana. kwasababu karibia wote wamemiminiwa zaidi ya mara mia tano. ila, huwezi amini, mkoani, nimekuta wanawake kibao wenye umri miaka zaidi ya ishirini mabikira. mimi ndo napenda hao, na nikaamua kuoa huyo. ndoa yake ni tamu sana, kwasababu anakufahamu wewe tu, na ni waaminifu na waoga kinoma.
najua wengine mtanipinga kuwa labda niliona kama siko fiti, nikaenda kumchukua mlemavu ktk mambo hayo ili tufanane, sio, nilishakuwa na watu wa huku kibao. ila nilikuwa nawachezea tu, nilikuwa sitaki kuwaoa, kwasababu nilikuwa naona kinyaaa, nikilala nao, najua kuwa, hata wenzangu wameshalala nae hadi wamemchoka, yeye ni kama chombo tu cha starehe kwa wanaume wengi, na si ajabu pale tulipolala anamfikiria mwanaume mwingine. nilikuwa nahisi kama nimelala na sanamu tu, pamoja na kwamba wana ufundi na uzoefu mkubwa. ndo maana nikaamua kubeba mzigo mpyaaaaaa, mimi mwenyewe namfundisa na anafundishika. hivyo, wanawake wa pwani siwataki hata kuwaona.
kwanza ulitakiwa na wewe uwe bikira huoni kama umempunja mwenzako?
pia unasema wanawake kibao ni mabikra ina maana kuna uliwawabikiri na hujawaoa?huoni kwamba wewe ulikuwa ni muharibifu?
piga ua...ma binti wa pwani ne second to none in my opinion
wakishapika wao hufukiza nyumba...na miili yao huku wasikiliza IKHWAAN wanaimba Mapenzi Yanatabu
Jamani eeh!! Kwani hayo yote ya kuzungusha mpaka dirishani ukachungulia nje, mahanjumati na mafukizaji hivi wa bara akifundishwa hawezi kufanya au ndio mnataka medula oblongata zenu zitufanye tuamini kuwa pwani ndio kila kitu???
Mi naamini kuwa hata wao walifundishwa how to do those things otherwise hiyo sifa wasingeipata. Pia tukubali kuwa kila mwanaume anavutiwa na radha yake. Sisi wengine bwana demu anachukua mtama kitu na box ndio burudani yenyewe.....teh!!!teh!!!teh!!!
Kuna madem wa huko huko bara mzee ukikutana nae na mambo utakayopata nadhani hao wa pwani utaona cha mtoto.
udi muhimu sana kwangu na inabidi uwe from Malaysia
I prefer mwanamke aliyechezwa
piga ua...ma binti wa pwani ne second to none in my opinion
wakishapika wao hufukiza nyumba...na miili yao huku wasikiliza IKHWAAN wanaimba Mapenzi Yanatabu
Mwanamke wa pwani shurti umbea kusutwa kwake sunna!
Mwanamke wa pwani shurti awe na shoga wa kumweleza kila kitu anachofanyiwa au kumfanyia mumewe huyo, no privacy na midomo yao haina brake!
Mwanamke wa pwani shurti mafiga matatu!
Mwanamke wa pwani shutri kwea libwata...basi hapo mwanaume hafurukuti, lau ndoa hifungwi hadi kwa ramli!
Mwanamke wa pwani shurti atumie shabuu!
Mwanamke wa pwani zaidi ya kupika na kukata viuno si mtafutaji!
Mwanamke wa pwani hatumii nyama ya ulimi, kwa mwanaume hupelekwa kama kuruta!
Mama tafadhali nyambulisha..wenzio unatuacha makutano ya barabara ya kawawa na Morroco!
akili kumkichwa babu, kutafuniwa utafuniwe hata kumeza pia ushindwe!
Jamani what is mafiga matatu lakini? mimi mdada wa pwani shida yangu moja tuu..asipake Hinna....I really feel VERY uncomfortable with those things on her hands/leggs/body! Damn it...anyway kila mtu ana radha yake...so Kunradhi GT na wengineo wote...wanaopenda...