MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
- Thread starter
- #161
Wewe hujawapenda mzee?He he he he
Kumbe kwenye sekta hii ya watoto wazuri na wewe ni mwanachama mtiifu??...
Wewe hujawapenda mzee?He he he he
Kumbe kwenye sekta hii ya watoto wazuri na wewe ni mwanachama mtiifu??...
No problemKwanini hukutegemea mkuu ???
Kuna tatizo kwani nikisifia uzuri wa kitu ??
Hahahaha, karibu sana mtumishi wa bwana.No problem
Sijakuelewa vizuri mkuu...mkuu ungerahisisha kuwa huwapendani Wa Tanzania ina maana hamna wa Tz sampuli hizo
Ulifanikiwa kula kitumbua au uliingizwa mjini??.Kuna mmoja nilishawahi kuhonga kuku na vifaranga wake
Maumbo ya Kichagga au Kinyaki muhimu ni upendo tu?!!.Wapate na maumbo ya kisukuma sasa ni balaa, yakiwa ya kichagga au kinyaki muhimu Upendo tu!..
Weka na wewe picha Yako halisi hapa labda utapendwa.Nimejaribu kusoma post yako nara mbili ili nielewe kinachokuvutia hapo ni nini? Labda staili ya nywele au?? Sijaelewa yaani. Maana sioni asili yao ipo kwenye nini. Kama ni Make up wamepaka kama yote. Nywele zenyewe ukiangalia vizuri siyi asili kwa tafsiri ya asili ilivyo.
Nilikula kitumbua mkuuUlifanikiwa kula kitumbua au uliingizwa mjini??.
Whaaat!!! 500k kisa ngono ??? Aisee una hatari nyingi wewe!Kuna mmoja hapo nilimtafuna kwa kuunganishiwa nikalipa 500k hakuna kitu kidogo nidai shekeli zangu.
Waoneni tu hivyo
Whaaat!!! 500k kisa ngono ??? Aisee una hatari nyingi wewe!
Braza ukiendelea hivi utajiri utausikia kwenye bomba tu!!!
Braza usirudie tena kuchezea pesa kwa namna hiyo,....
Yaani bro usinikumbushe hela yenyewe nililima matikiti rufiji, nikapata 2.5mil
Ndaga fijoBraza usirudie tena kuchezea pesa kwa namna hiyo,....