mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Salaamu naam nipo Mbeya mjini kama wiki moja sasa ,kwa hakika nimeshtuka sana kuwaona akina dada, mama wengi hapa mjini wamejichubua, ukiangalia kwa asilimia kati ya wanawake 10 utakaokutana nao 7 wamejichubua ,hata wanawake watu wazima kwa kweli nimefadhaika sana na hali hiyo sijui ni kutoelewa madhara ya tokanayo na kutumia hizo dawa au ndo wenyewe wanaona ni fashion nashindwa elewa.
Pia kitu kingine nilichoona ni kuwa mkoa wa Mbeya ndi kitovu cha madawa ya kuharibu ngozi wenyewe wanaita vipodozi ,kwa kuwa mkoa unaopakana na nchi za Malawi na Zambia nchi ambazo hivyo vipodozi hupitia naona ndio sijui imekuwa sababu ya hawa mama na dada zetu kutumia hiyo mikorogo,ukiangalia hizo sura zilivyosinyaa na mtu kuwa na rangi mbili yaani usoni mweupe na miguuni mweusi,pia wengi wameota ndevu loh!.
Jamani dada na mama zangu wa Mbeya hiyo tabia tuiache ,urembo sio mkorogo,mikorogo ina madhara makubwa huleta kansa !
Loli nswigile mwe !
Pia kitu kingine nilichoona ni kuwa mkoa wa Mbeya ndi kitovu cha madawa ya kuharibu ngozi wenyewe wanaita vipodozi ,kwa kuwa mkoa unaopakana na nchi za Malawi na Zambia nchi ambazo hivyo vipodozi hupitia naona ndio sijui imekuwa sababu ya hawa mama na dada zetu kutumia hiyo mikorogo,ukiangalia hizo sura zilivyosinyaa na mtu kuwa na rangi mbili yaani usoni mweupe na miguuni mweusi,pia wengi wameota ndevu loh!.
Jamani dada na mama zangu wa Mbeya hiyo tabia tuiache ,urembo sio mkorogo,mikorogo ina madhara makubwa huleta kansa !
Loli nswigile mwe !