Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,008
- 54,277
BuzebazebaWanawake wakigoma wana desturi ya kuvaa tight zile kama sketi kwa ndani au bukta za chelsea. Bora wa pwani wawe pwelele hivohivo
BuzebazebaWanawake wakigoma wana desturi ya kuvaa tight zile kama sketi kwa ndani au bukta za chelsea. Bora wa pwani wawe pwelele hivohivo
Karne Ya 21 ,Ch*p* Ya NiniJoto
Hapo sasaKarne Ya 21 ,Ch*p* Ya Nini
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguHapo sasa
Halafu ndo mabingwa wa kukaa vibaya, unakuta ameachama mipaja, panya buku likikimbizwa huko, linamzamia ndani ya dera, afu anaruka utazani kapigwa shoti.Wanawake wengi Pwani , Dsm , Lindi na Mtwara hawavai kabisa nguo za ndani ( chupi).
Unamkuta mwanamke kavaa dela , khanga , gauni, taiti au suluari lakini ukimkagua unaona ndani ni kama alivyozaliwa tu.
Chunguza hata biashara ya chupi kwa mikoa ya ukanda wa pwani, hailipi kabisa.
Au we jaribu kumkagua vizuri mchepuko wako, chupi havai kabisa.
Hii kitu inanichefua sana.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hii tabia yenye tamaa flan hiv ya kizinzi.unaanzaje kumkagua mwanamke mpita njia.yaani huwa unawakaguaje labda.Wanawake wengi Pwani , Dsm , Lindi na Mtwara hawavai kabisa nguo za ndani ( chupi).
Unamkuta mwanamke kavaa dela , khanga , gauni, taiti au suluari lakini ukimkagua unaona ndani ni kama alivyozaliwa tu.
Chunguza hata biashara ya chupi kwa mikoa ya ukanda wa pwani, hailipi kabisa.
Au we jaribu kumkagua vizuri mchepuko wako, chupi havai kabisa.
Hii kitu inanichefua sana.
Ww ni KE au MEHii tabia yenye tamaa flan hiv ya kizinzi.unaanzaje kumkagua mwanamke mpita njia.yaani huwa unawakaguaje labda.
Tuwape heshima zao hao dada zetu.tuwaheshimu tuu kama dada zetu au mama zetu.chukulia kama huyo mwenye hiyo tight ni mama yako,utaendelea kumkagua?
mi ndo maana nawambiaga vijana waoe, badala ya kukagua na kutizama misambwanda ya wadada na wamama wa watu mabarabarani, wawe wanatazama ya wake zao ndani kwa raha zao wala hupati dhambiHii tabia yenye tamaa flan hiv ya kizinzi.unaanzaje kumkagua mwanamke mpita njia.yaani huwa unawakaguaje labda.
Tuwape heshima zao hao dada zetu.tuwaheshimu tuu kama dada zetu au mama zetu.chukulia kama huyo mwenye hiyo tight ni mama yako,utaendelea kumkagua?
Ndio ndioJoto, hewa muhimu.