GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,860
Kwamba......
Mwanamke yoyote yule akijua tu anaenda Kushiriki Tendo la Ndoa au Tendo la Uzinifu na Mwanaume basi shurti lazima awe amevalia Chupi ama ya Rangi Nyeupe au Rangi ya Pinki tu? Na pia katika Chupi za Rangi zote ni Chupi ya rangi moja tu Nyeusi ndiyo huwa inabaguliwa Kimatumizi ( namaanisha Kiuvaliwaji )
Leo Dada zangu, Mama zangu na Wapenzi wangu nina nyie na nahitaji majibu yenu juu ya hiki / hili.
Nawasilisha.
Mwanamke yoyote yule akijua tu anaenda Kushiriki Tendo la Ndoa au Tendo la Uzinifu na Mwanaume basi shurti lazima awe amevalia Chupi ama ya Rangi Nyeupe au Rangi ya Pinki tu? Na pia katika Chupi za Rangi zote ni Chupi ya rangi moja tu Nyeusi ndiyo huwa inabaguliwa Kimatumizi ( namaanisha Kiuvaliwaji )
Leo Dada zangu, Mama zangu na Wapenzi wangu nina nyie na nahitaji majibu yenu juu ya hiki / hili.
Nawasilisha.