GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Kuna wengine tuna Asili ya Uwoga ( Unyali ) hivyo pale tukiwa tunawatongozeni msiwe tu mnaishia Kututajia kwa Mikogo Majina yenu ya mwanzo lakini pia muwe mnatutajia na ya Ubini ( Ukoo ) sawa?
Wanawake wenye Majina Kamili kama haya yafuatayo usitegemee hata kama GENTAMYCINE nimekutongoza na Nakupenda Kweli ukinitajia nitarejea tena Kwako.....
1. Grace Ngumi
2. Rukia Masikini
3. Irene Pigana
4. Zuhura Chunusi
5. Lucy Nyoka
6. Mwanaidi Komoa
7. Anna Fimbo
8. Ashura Mpalange
Nitashukuru kama Wanawake mtakuwa wawazi mapema tu kwa Kututajia Majina yenu yote ( hasa hasa yale ya Ukoo ) mtakuwa mmetusaidia zaiidi Sisi Waoga wa Fujo na Matatizo.
Wanawake wenye Majina Kamili kama haya yafuatayo usitegemee hata kama GENTAMYCINE nimekutongoza na Nakupenda Kweli ukinitajia nitarejea tena Kwako.....
1. Grace Ngumi
2. Rukia Masikini
3. Irene Pigana
4. Zuhura Chunusi
5. Lucy Nyoka
6. Mwanaidi Komoa
7. Anna Fimbo
8. Ashura Mpalange
Nitashukuru kama Wanawake mtakuwa wawazi mapema tu kwa Kututajia Majina yenu yote ( hasa hasa yale ya Ukoo ) mtakuwa mmetusaidia zaiidi Sisi Waoga wa Fujo na Matatizo.