Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Hello! Kauli hizi za 'vipi ukifa nitaishi vipi na watoto?' na nyinginezo mara nyingi hutamkwa na wanawake wachche ambao wanajua mwanaume ni LAZIMA atawahi kufa.
Mbona Ulaya hatuoni? Tazama Bush, Obama na wengineo wengi tu, kuna shida gani huku kwetu?
Yaani wake za Marais wote wapo hai, wanaume wa kitanzania shida nini?
Hii inafikirisha mno!
Mbona Ulaya hatuoni? Tazama Bush, Obama na wengineo wengi tu, kuna shida gani huku kwetu?
Yaani wake za Marais wote wapo hai, wanaume wa kitanzania shida nini?
Hii inafikirisha mno!