Shida yako mwanamke au kabila.....siku hizi watu wanaangalia yabia sio kabila.......wewe ndio umemuona
Stereotyping nyingine ni za kuchekesha sana.Kwani mtoto wa kichaga,kipare au kihaya hawezi kukuomba bia akiwa na jamaa wengine?Usichague kabila mkuu..chagua mke atakaeyekufaa...siku hizi hata watoto wa kichaga wanatoa 0713....just like hata demu wa kizungu anaweza kukupa gono ama ukimwiduh thanx wadau kwa kufungunguka, bcoz kuna mmoja nilimgegeda tanga na after some weeks hivi nilirud tena tanga nikamuona club na washkaj zake akanifuata eti nimnunulie bia yeye na hao jamaa wawili, nikamchomolea eti ananimaind, nikamuona ni mpuuz wa ajab sana.
Stereotyping nyingine ni za kuchekesha sana.Kwani mtoto wa kichaga,kipare au kihaya hawezi kukuomba bia akiwa na jamaa wengine?Usichague kabila mkuu..chagua mke atakaeyekufaa...siku hizi hata watoto wa kichaga wanatoa 0713....just like hata demu wa kizungu anaweza kukupa gono ama ukimwi
Be careful!
Wanawake wa kiiraq wana "elfu tatu"...
....mi naona inategemea na mtu jamani sidhani km ni wote, kwa kuwa mapungufu kila kabila haijalishi anatokea wapi, yanakuwepo....nikumuomba Mwenyezi Mungu tu akujaalie mwenza mwema, hakuna zaidi ya hapo....