Msukuma ni rahisi kumuua kwa sumu, kichawi au kwa bastola baada ya kumudanganyishia mapenzi na yeye kubaki na Mali uliyoitafuta kwa jasho na damn. Chaga women ni zaidi ya shetwaniWakuu habari.
Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini.
Swali langu kwa nyie wachaga mbona mnawapenda sana wasukuma?