Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,266
- 33,039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askari wa ulaya hawapigi Raia wema hata kidogo. Askari wa Ulaya kazi yake ni kutuliza Raia sio kupiga Raia wema wana haki ya kuandamana kudai haki zao Serikalini. Ukiona nchi Askari wake wanawapiga Raia basi ujuwe hiyo nchi haifuati haki za kibinadamu utawala wake ni wa Ki-Dikteta.@ARVdah,askari wa huko wana raha.
Askari wa ulaya hawapigi Raia wema hata kidogo. Askari wa Ulaya kazi yake ni kutuliza Raia sio kupiga Raia wema wana haki ya kuandamana kudai haki zao Serikalini. Ukiona nchi Askari wake wanawapiga Raia basi ujuwe hiyo nchi haifuati haki za kibinadamu utawala wake ni wa Ki-Dikteta.@ARV
Mkuu upo? naona jamaa anafaidiKaka huku kwetu ni wapigwe tu,nikirudi kwenye mada naona kama vile huyo mama walimuonea tu kumshitaki.Mbona askari mwenyewe anaonekana kurembua na anafurahia kitendo hicho,ni nini hasa kisa cha kumshitaki mama wa watu..??
Mkuu upo? naona jamaa anafaidi
Mwe hivi polisi wa kibongo unaweza kumfanyia hvyo...yani utapigwa
Hahahaaaa! opportunity hii bongo hata Kova angeigombea!Nipo kaka nawashangaa hawa waliomshitaki dada wa watu wakati afande alikuwa anafaidi mpaka jicho kalirembua hapo......
Hahahaaaa! opportunity hii bongo hata Kova angeigombea!
angefurahije hapo huyo kova
Mwe hivi polisi wa kibongo unaweza kumfanyia hvyo...yani utapigwa
European Women wana genye nyingi. Wanaume wanashinda Pub muda mwingi! Football and Booze!
ujue ataondoka na wewe..
Njoo unakaribishwa sana karibu Italy.I need to be a police in Italy MziziMkavu