Wewe unapenda nini nikupatie?Nimeanza kuamini mimi ni wa kiume manake mie ni mwanamke wa kibongo lakini sipendi kabisa habari za vitenge
Nipatie vile ulikuwa unanipaWewe unapenda nini nikupatie?
Hapana aseeeDela na kijola?
Ukitaka mtoto wa kiTz akukubali kwa nguvu zote we mpige kitenge. Hasa lile wax la p3 hapo utakuwa umemuweza. Mbususu na mabusu utapewa kama yote.
Sijajua kuna nini kwenye vitenge mpaka akina dada na akina mama wanakuvibali kwa namna hii.?
Utelezi...Nipatie vile ulikuwa unanipa
Usijali utaendelea kuvipata.Nipatie vile ulikuwa unanipa