GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,054
- 107,538
Hatimaye Kundi kubwa la Wanawake wa nchini Kenya wamejitokeza hadharani kabisa Kuzipinga Taulo za Kike / Sodo ( Sanitary Pads / Sanitary Towels ) aina ya ' Always ' wakisema kuwa kila wanapokuwa wanazitumia huwa zinawatesa kwa ' Kuwawasha ' mno huku wakiitaka Serikali ya Kenya kupitia Mamlaka husika ' Kuzikagua ' kwani huenda kuna ' Hujuma ' kubwa inayofanywa ya ' Kiafya ' dhidi ya Wanawake wa nchini Kenya kutoka kwa nchi za Magharibi kupitia hizo ' Taulo ' za Kike.
Hata hivyo wakati Wanawake hao wa Kenya wakilalamika kuhusu hizo ' Taulo / Sodo ' za Always na hayo madhara yanayowapata huko Mitandaoni Wanawake Wenzao nao wamewashukia hao wanaolalamika huku ' wakiwachana ' mubashara ambapo baadhi ya hiyo ' michano ' au hayo ' madongo ' ni kama haya yafuatayo ambayo nayanukuu:
" Kwendeni zenu huko na acheni Kuchafua Biashara za Watu Wewe Mwanamke mzima unavaa Sodo / Taulo / Pedi Masaa 12 wakati Kiafya unatakiwa uvae kwa Saa kati ya 3 au 4 kwanini Uchi wako huo usikuwashe? "
" Sasa kama Mwanamke Mwenzangu hunyoi Mavuzi yako yaliyo makubwa kama Pori la Mlima Kenya kwani ukivaa hizi Taulo / Sodo za ' Always ' ambazo pia zinahitaji Mwanamke uwe Msafi usipatwe na huo muwasho huko Sirini / Ukeni Kwako? "
" Mimi mwenyewe hapa naandika nimevaa hiyo hiyo Sodo / Taulo / Pedi ya ' Always ' na huwa naitumia kila Mwezi ila sijawahi kupata hayo matatizo ya Muwasho pengine labda kwakuwa nina Uchi / Uke mdogo hivyo nawashauri nyie Wanawake wenzangu yawezekana Maumbile yenu pia ni makubwa kama Bonde la Ufa ndiyo maana zinawapa shida "
Huwa naziona sasa hizi Taulo / Sodo hapa Tanzania Kwetu huko Madukani hivyo sijajua kama na Wanawake wetu wa Tanzania wanaozitumia nao wanapatwa na haya madhara ya ' Muwasho ' ila nadhani sasa kupitia huu ' Uzi ' na Wao wanaweza Wakatiririka na Wakaserereka ili tuweze Kujua je Tatizo ni ' Always ' za Kenya au Wanawake wa Kenya au ni kweli kuna lililojificha juu yake?
Nawasilisha.
Chanzo Taarifa: Citizen Tv Kenya.
Hata hivyo wakati Wanawake hao wa Kenya wakilalamika kuhusu hizo ' Taulo / Sodo ' za Always na hayo madhara yanayowapata huko Mitandaoni Wanawake Wenzao nao wamewashukia hao wanaolalamika huku ' wakiwachana ' mubashara ambapo baadhi ya hiyo ' michano ' au hayo ' madongo ' ni kama haya yafuatayo ambayo nayanukuu:
" Kwendeni zenu huko na acheni Kuchafua Biashara za Watu Wewe Mwanamke mzima unavaa Sodo / Taulo / Pedi Masaa 12 wakati Kiafya unatakiwa uvae kwa Saa kati ya 3 au 4 kwanini Uchi wako huo usikuwashe? "
" Sasa kama Mwanamke Mwenzangu hunyoi Mavuzi yako yaliyo makubwa kama Pori la Mlima Kenya kwani ukivaa hizi Taulo / Sodo za ' Always ' ambazo pia zinahitaji Mwanamke uwe Msafi usipatwe na huo muwasho huko Sirini / Ukeni Kwako? "
" Mimi mwenyewe hapa naandika nimevaa hiyo hiyo Sodo / Taulo / Pedi ya ' Always ' na huwa naitumia kila Mwezi ila sijawahi kupata hayo matatizo ya Muwasho pengine labda kwakuwa nina Uchi / Uke mdogo hivyo nawashauri nyie Wanawake wenzangu yawezekana Maumbile yenu pia ni makubwa kama Bonde la Ufa ndiyo maana zinawapa shida "
Huwa naziona sasa hizi Taulo / Sodo hapa Tanzania Kwetu huko Madukani hivyo sijajua kama na Wanawake wetu wa Tanzania wanaozitumia nao wanapatwa na haya madhara ya ' Muwasho ' ila nadhani sasa kupitia huu ' Uzi ' na Wao wanaweza Wakatiririka na Wakaserereka ili tuweze Kujua je Tatizo ni ' Always ' za Kenya au Wanawake wa Kenya au ni kweli kuna lililojificha juu yake?
Nawasilisha.
Chanzo Taarifa: Citizen Tv Kenya.