Sidhani kama inahusika na nguvu za wanawake wa Kenya bali ni udhaifu wa wanaume wa Kenya. Wamama jabali kama hao hata kule Nyamungo na Ngoreme tunao, lakini hawajawa na huo uthubutu wa kumtia mume kichapo kama kina Njokii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.