nimepita leo asubuhi huku jukwaani nikakuta mtu kauliza swali la wanawake wa kabila gani wachafu sasa mimi nawajua wanawake wa kabila la ki''colour'' nahisi wao ndio wanaoongozaa. Wewe unadhani nani waanaongoza na wanaoshika mkia??
kwa raha zakounataka nianzishe siredi nyingine ya kuuliza kabila gani linaongoza kwa kua na waalimu na manesi??
Kabila la wana jf
Kwenye ule uzi wa uchafu watu waligopa sana kujilipua, waliishia kuguna tu, sasa huu uzi wa usafi naona watajibu,
For me ,Wazanzibari wako juu kwa usafi