Wanawake wa kabila gani ni wataalamu ktk mapenzi

Mbangubangu

Senior Member
May 6, 2013
188
69
Tanzania tuna makabila mengi na kila kabila lina mafunzo na tabia yake zake katika swala zima la mapenzi.Je ni wanawake wa kabila gani ni mafundi hodari wawapo ktk uwanja wa seremala?.
 
jus kidding... I mean siku hizi mapenzi hayaangalii kabila bwana.. Mtu tu na ujuzi wako na ujanja wako
 
Back
Top Bottom