Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,101
- 158,939
Labda vidudu ya wadudu sio ya chekechea(elimu ya awali) maana hao ndio wanatakiwa wawe wameiva kwenye saikolojia.Mwl wa vidudu itakua
Labda vidudu ya wadudu sio ya chekechea(elimu ya awali) maana hao ndio wanatakiwa wawe wameiva kwenye saikolojia.Mwl wa vidudu itakua
Uko sahihi kabisa, usisahau hapa ni MMU na wewe uko hapa.
Habari yako mjinga...
Mwambie huyoUshaambiwa mapenzi yanarun dunia...
Waache wakae huku maana huko siasani mtawavuruga tu...
Maana huko siasani kumejaa umbea kuliko MMU... Kutwa nzima mijitu mizima inawajadili Wema Sepetu, Makonda, Masogange, mama Wema as if wamekosa la maana la kujadili...
Kutwa kucha mijamaa inatukanana... Bavicha UVCCM, Lumumba Ufipa, Nyumbu Panya... watu wanatukanana JF wakati wanasiasa wenyewe wanakula bata tu. Wenzenu wanapiga vijembe bungeni, jioni wanakutana bar wananunuliana bia na nyama choma.
Waache wamama wabaki MMU, huko siasani ni full mapovu... na wajinga ndio waliwao.
Mpendwa nimeona hapo kwenye "yana jazana" ikabidi nijiulize hivi kumbe siku hizi mmekuwa maembe!?We ulijuaje tumejazana na kutwa kushinda mmu kama hatushindi wote? Au nawe mwanamke mwenzetu!!
Wakati huo huo nae tumejazana nae huku, kaaazi kweli kweli.Mpendwa nimeona hapo kwenye "yana jazana" ikabidi nijiulize hivi kumbe siku hizi mmekuwa maembe!?
Eti mpendwa nyie ni mananasi?
Nyani haoni ku.....!!Wakati huo huo nae tumejazana nae huku, kaaazi kweli kweli.
Sidhani kama hata umeielewa mada husika, hebu soma tenaMnataka wanaume mbaki wenyewe kujadili mapenzi humu??? Inaleta picha gani hapo?
Tunaleta balance mkuu! Lazima tuwepo humu
What..? karibu nini?Marahaba kijana.... karibu Nyoka.
BadoHivi ameshafufuka?