Jana WANAWAKE WA GEITA baada ya kusherekea sikuku yao. Hapo ni karibu na kwa Muheshimiwa Jiwe
Check out @UpendoPeneza’s Tweet:
Check out @UpendoPeneza’s Tweet:
SWISSME
Hata bashite anaweza akamkana jiwe, bashite hucheza na fulsa, atajipendekeza kwa yule aliye na uelekeo wa kushinda. huo ndiyo uzuri wa F7Ikitokea uchaguzi leo utakaosimamiwa bila mapolisi,jiwe anaweza kupata kura ya bashite tu!!
Ajenda nzuri sana hizi.Maisha magumu watu wanang'ang'ana nz flyover za dar. Mara ntasomesha watoto mia hiyo haisaidii. Boresha maisha ya watu wore kilsmtu asomeshe mwenyewe shwain.
Chadema wawe wanatoa ahadi zao mapema uchaguzi ushawadia wasisahau
_ kupandisha mishahara na madaraja watumishi
_kuunda kitengo maalumu chakutafuta solo la mazao mbalimbali nje ya nchi ikishirikisha mabalozi.
_kufuta madeni yooote ya mikopo ya elimu ya juu (heslb).
_kuhakikishia wanafunzi wetu chakula wawapo shuleni.
_kuilinda na kuiboresha haki amani na demokrasia na kuzuia unyanyasaji na mauaji popote Tanzania. Nk. no.
Mashinji aamke nakuanza kunadi sera
Maisha magumu watu wanang'ang'ana nz flyover za dar. Mara ntasomesha watoto mia hiyo haisaidii. Boresha maisha ya watu wore kilsmtu asomeshe mwenyewe shwain.
Chadema wawe wanatoa ahadi zao mapema uchaguzi ushawadia wasisahau
_ kupandisha mishahara na madaraja watumishi
_kuunda kitengo maalumu chakutafuta solo la mazao mbalimbali nje ya nchi ikishirikisha mabalozi.
_kufuta madeni yooote ya mikopo ya elimu ya juu (heslb).
_kuhakikishia wanafunzi wetu chakula wawapo shuleni.
_kuilinda na kuiboresha haki amani na demokrasia na kuzuia unyanyasaji na mauaji popote Tanzania. Nk. no.
Mashinji aamke nakuanza kunadi sera
hao wanawake wamebebwa kutoka Arusha