Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,436
Mfano kama waarabu makoroo wa zanzibar, wahuni kishenzi walee... utasikia yakhee twala na nyumaa
Mfano kama waarabu makoroo wa zanzibar, wahuni kishenzi walee... utasikia yakhee twala na nyumaa
Ila chief wanawake weupe ( wa kiarabu, alafu awe familia bora ) alafu ukute ana nywele ndefuu ... ni shidaaa.. 😃😃😃Wengi choka mbaya tu hapa mjin
Ila chief wanawake weupe ( wa kiarabu, alafu awe familia bora ) alafu ukute ana nywele ndefuu ... ni shidaaa..
Rangi nyeupe inapendwa sana hata wanawake weupe wanajiona wako bora na wanapendwa zaidi ukitaka kujua angalia tu matangazo ya biashara mengi yanatumia watu wenye rangi ya kung’aa wale wenzangu na mie cheusi mangala mvuto sio sanalakin kweli watu weupe madem wanashobokea sn ili apige bakora mtaani yupo na rangi ingine.
😂😂😂😂😂Mfano kama waarabu makoroo wa zanzibar, wahuni kishenzi walee... utasikia yakhee twala na nyumaa
Kuna uhusiano mkubwa Kati ya rangi ya ngozi na ukwasi, au umaskini,Wanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa .
Dada zetu Waarabu wana wapa nini?
Mungu atuhifadhi asee..nacheka hapa kama chizi aseeWana sura nzuri, mionekano ya kitajiri hata akija na ist binti haruki.
Sisi wenye sura za kuaga miili hata tukiendesha cruiser Bado Kuna kaugumu.
Kuna mzee muhuni JF kama bujibuji?Waarabu wanasukuma mbolea
Inapendeza sanaMikuyati mweupe inamvuto buana,
halafu watu tunatafuta upekee yaani ukoo mzima vipilipili unaonaje wewe ukileta mtoto mwenye nywele za kisinga
iWanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa.
Dada zetu Waarabu wana wapa nini?
Waarabu ndio wenye hela sheikh,Wanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa.
Dada zetu Waarabu wana wapa nini?
Siwez kumuacha bint wa mwanalumango kisa nikuoe bint wa kiarabu kuna vitu nitakosaHata dada zao wa kiarabu wanatupenda watu weusi. Kilwa94 nishachakata waarabu wawili mbaka saivi.Huyu mmoja kaniomba nifunge naye ndoa(Kaja toka Oman hivi karibuni) ila mimi nafsi yangu haitaki kabisa..wake wa kiarabu hawana joto kama la wake wa kihaya.