Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
Nani wanaoongoza kwa kudanganya kwenye simu? Wanaume au Wanawake? Haya fungukeni bila uoga!
Ukichukua Twakimu ya kwamba wanawake wanaongea mara tatu ya mwanamme kwa siku that means probability ya m/ke kudanganya ni kubwa cmpred na m/me.
me nakataa kwan kuongea sana ndo kusema uongo kha! Madame B, Kongosho, sweetlady, marejesho Elizabeth Dominic, beibe nasty na wadada / wamama wote wa humu chit chat hebu njooni tumsute!
charminglady vp na huku huduma inahitajika?men wanasema uongo kwenye phone mbaya hatuwafikii
Kusutwa sunna shosti................................mimi verdict yangu ni men lie, women lie kwa hiyo ka mkaka anataka tumfungie mtaa haya anakaribishwa
yan we acha, unajua sie tuna kauoga flan hv so kusema uongo kwenye simu ni nadra. wanaume ndo wanaongoza!
we muache tu!
Huo mtaa asikosekane Madame B hata mie nshamwogopa.