Wanawake ving'ang'anizi

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,020
Za wikend wapendwa.
Wakuu yule mrembo wa miaka 18 niliewaambie juzi bado anazidi kunisumbua tuu.
Mimi baada ya kumpiga chini kama rais wa real madrid anavyowafukuzaga kama mbwa makocha wanaoboronga huyu dada kaamua kunikali kooni kabisa na kama nisipobadilisha mawazo basi ataniadhibu vibaya sana.

Sasa jaman mimi penzi la kulazimisha sipend na naogopa mimi simpend tena.
Huyu mrembo kaniganda jaman sijui anataka nini kwangu, nikimpasua kuna ubaya kwani? Ananipotezea mda sana pia sina mzuka wa kupig bata viwanja
Naombeni ushauri nichukue hatua gani maana huyu mwanamke anaponipeleka siko kabisa.
 
Hivi hizi bahati, mbona wengine hatuzipati au hizi huwa story za kutunga?
 
Mpeleke police ndo kazi yao
Ndo maana nasemaga bara la africa limelaaniwa kwa ujumla
Watu hawafanyi mambo ya maana badale yake wanakalia udaku tuu.
Wenzetu wanagundua mateknolojia ya maana, watu wanaumiza kichwa kuboresha teknolojia bongo wanakesha flan kala nn, yuko wapi, amelala na nani jana n.k
[HASHTAG]#Shame[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom