Wanawake; "umalaya ni cheyo na ni haki yetu ya msingi...."

Kwani maana ya umalaya ni nini...mimi nivyofahamu mwanamke anaweza kuwa malaya kwa mmewe pia na siyo mbaya....

Kama ulikua kwa kichwa changu mpendwa wangu, umalaya nineno na pia nitendo ambalo linaweza kutendeka na likashangaza mtu. Yaweza pia kua utundu flani.
 
This is where I fail to understand women.......................urgh!

Huyo mama amemuacha mumewe(aliye toka nje ya ndoa by sleeping with the nurse) nyumbani anakuja kumtukana kimada!?
Upuuzi mtupu!

Anyways usishtushwe Im sure huyo nesi alikuwa anasema hivyo kumkomoa huyo mama, even though she is in the wrong
some of what said is valid, adabu akampe mumewe............................"
 
Wana JF leo asubuhi nimeshudia kisa kimoja, Jirani yangu mpangaji mwenzangu ambeye ni Nesi amevamiwa na mke wa mfanyabisha mmoja na kufanyiwa Vurugu kwa kuambiwa "toka we malaya nikushikishe adabu yako nishakwambia uache kutembea na wanaume wa watu tafuta wa kwako, malaya mkubwa wee.. k**a kama vuvusela" na huyo nesi bila woga alitoka ndani mwake amecharuka "adabu ukampe mmeo aliyenifata malaya, malaya.... Malaya ni cheo kwa mwanamke na ni haki ya msingi mwanamke kuwa malaya"

my take
binafsi nimeshtuka sana maneno ya huyu nesi maana nikiangalia bado Sijaoa; Magreat thinkers hii imekaaje?

NAOMBA KUWASILISHA.

Alikuwa anamjibu tu, lakin sio wanawake walivyo
 
Back
Top Bottom