Wanawake Tumieni Password

ABINALA

Senior Member
Sep 20, 2013
134
55
No kweli kuwa sio jambo LA kukana/kupinga kwamba wanaume tunapaswa kulaumiwa juu ya sex before marriage na kusababisha watoto out of wedlock.

Nyie akina Dada mnawaamini vipi wanaume? Hata mnadiriki kuitoa sadaka miili yenu kwa wanaume ambao hamna uhakika kuwa watawaoa?

Mbaya zaidi unakubali kudanganywa na waume za watu wanaosema wanawatoto ila hawajaoa.Na nyie mnadanganywa na tamaa zenu za mapenzi na pesa mnavua.

Matokeo yake kadri siku zinavyosonga unakujakugundua kuwa jamaa alikuwa anakutumia kama mchepuko.

Sasa mnapata mimba; kutokana na mambo mengi ya kifamilia ya mwanaume pengine wakati huo umebeba mimba na Mke wa huyo hawala yako anamimba.

Hivi unafikiri mwanaume atachukulia uzito mwanamke gani?

Hata kama utakuwa mjanja ukawa unakula dawa za kuzuia mimba.Dada yangu mwili wako no special kwa mumeo ajaye na sio kwa ajili ya matumizi ya anasa.

Mnawapa machungu waume zenu was baadae watakao waoa kwa ndoa.

Jambo LA kuzingatia ni kuacha tamaa za ngono na pesa mwogopeni Mungu!

Mnaweza kusema hakuna sababu ya kujitunza kwasasabu na wanaume watakaowaoa huenda wanafanya uchafu huo.

Ni ukweli kwamba kutokana na tofauti za kibaolojia ke mnawahi Ku mature kuliko me!
So mnawavutia watu wenye ndoa zao na ambao wameshajiweza kimaisha na wanaamua kuchepuka na nyie mkidhani in mapenzi ya kweli.

Wanaume hao wakisha timiza haja zao wanawabwaga.

Mnabaki Ku regret kwanini mlichezewa mkaachwa Mara wanaume sio waaminifu.

Wekeni password kwamba kufanyi ngono mpaka fungate mkachafue mashuka huko na ndoa itakuwa na thamani.

Kama ilivyo ATM bila nenosiri hupewi pesa iwe kwenu pia bila utaratibu kufuatwa hakutoki kitu.

Duniani pangekua paradiso kama watu tungeheshimu ndoa

Umasikini,magonjwa,kujiua,kujikinai,kujilaumu, kujichukia,wasiwasi,watoto wa mtaa/chokoraa,single mother's kunasababishwa na uzinzi

Flight from adultery and fonication!!!!!!!! Our body was meant to honor God!!!!!!!!!!!!!
 
Hawa viumbe hata uwashauri hadi kesho kutwa utaonekana mbaya tu hawaelewi kitu mbele kugegedana
 
Duuh! Ni kweli ulichosema brother ila kwa sisi KE ni ngumu sana sana tena sana, zamani mabibi walikua wanaolewa wengine hata hawajabalehe mtu atabalehe kwa mumewe, ila sasa hivi changamoto ni nyingi sana sana.
 
Kale kamsemo ka "Shake well before use" kanapingana kabisa na hii mada, na haka ndo kanakofanya kukuelewa kwa 100% na kutekeleza kwa 0%. Nb:- Vijana wana kamsemo kao "Penye Nywila Penyeza Rupia"
 
Hawa viumbe hata uwashauri hadi kesho kutwa utaonekana mbaya tu hawaelewi kitu mbele kugegedana
tatizo ni kwamba hatuna hiyo kichafua shuka sasa naweka password akiniuliza una bikra namjibu sina , atasema kuna mtu ananigonga halfu yeye namnyima ,.. any way
 
Mmm ushauri wako ni mzuri lakini mapenzi kitu kingine bana asikwambie mtuuu yana nguvu kuliko kifooo, alishidwa kuvumilia Adam na Eva, tutakuwa mimi na wewe!! ? Ila kupanga nikuamua wapo walioweza kujitunza hadi ndoa na wengine bado wanajitunza....
Ila bhanaa mimi nishakula lile tundaa kuibania tena najitahidi ila sometimes unahisi km unaumwa degedege ukikosa hiyo kitu mazeee
 
Mmm ushauri wako ni mzuri lakini mapenzi kitu kingine bana asikwambie mtuuu yana nguvu kuliko kifooo, alishidwa kuvumilia Adam na Eva, tutakuwa mimi na wewe!! ? Ila kupanga nikuamua wapo walioweza kujitunza hadi ndoa na wengine bado wanajitunza....
Ila bhanaa mimi nishakula lile tundaa kuibania tena najitahidi ila sometimes unahisi km unaumwa degedege ukikosa hiyo kitu mazeee
Shkamoo
 
No kweli kuwa sio jambo LA kukana/kupinga kwamba wanaume tunapaswa kulaumiwa juu ya sex before marriage na kusababisha watoto out of wedlock.

Nyie akina Dada mnawaamini vipi wanaume? Hata mnadiriki kuitoa sadaka miili yenu kwa wanaume ambao hamna uhakika kuwa watawaoa?

Mbaya zaidi unakubali kudanganywa na waume za watu wanaosema wanawatoto ila hawajaoa.Na nyie mnadanganywa na tamaa zenu za mapenzi na pesa mnavua.

Matokeo yake kadri siku zinavyosonga unakujakugundua kuwa jamaa alikuwa anakutumia kama mchepuko.

Sasa mnapata mimba; kutokana na mambo mengi ya kifamilia ya mwanaume pengine wakati huo umebeba mimba na Mke wa huyo hawala yako anamimba.

Hivi unafikiri mwanaume atachukulia uzito mwanamke gani?

Hata kama utakuwa mjanja ukawa unakula dawa za kuzuia mimba.Dada yangu mwili wako no special kwa mumeo ajaye na sio kwa ajili ya matumizi ya anasa.

Mnawapa machungu waume zenu was baadae watakao waoa kwa ndoa.

Jambo LA kuzingatia ni kuacha tamaa za ngono na pesa mwogopeni Mungu!

Mnaweza kusema hakuna sababu ya kujitunza kwasasabu na wanaume watakaowaoa huenda wanafanya uchafu huo.

Ni ukweli kwamba kutokana na tofauti za kibaolojia ke mnawahi Ku mature kuliko me!
So mnawavutia watu wenye ndoa zao na ambao wameshajiweza kimaisha na wanaamua kuchepuka na nyie mkidhani in mapenzi ya kweli.

Wanaume hao wakisha timiza haja zao wanawabwaga.

Mnabaki Ku regret kwanini mlichezewa mkaachwa Mara wanaume sio waaminifu.

Wekeni password kwamba kufanyi ngono mpaka fungate mkachafue mashuka huko na ndoa itakuwa na thamani.

Kama ilivyo ATM bila nenosiri hupewi pesa iwe kwenu pia bila utaratibu kufuatwa hakutoki kitu.

Duniani pangekua paradiso kama watu tungeheshimu ndoa

Umasikini,magonjwa,kujiua,kujikinai,kujilaumu, kujichukia,wasiwasi,watoto wa mtaa/chokoraa,single mother's kunasababishwa na uzinzi

Flight from adultery and fonication!!!!!!!! Our body was meant to honor God!!!!!!!!!!!!!
Wanawake ndo wako desperate na kuolewa hivyo hugawa kama hakikisho kwao la kuolewa kumbe wengine huingizwa kingi, pia Mungu kawaumba tuwadanganye kiurahisi.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom