Wanawake tumieni busara kutatua tatizo la kupungua nguvu za wenzi wenu

KIDUNDULIMA

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
966
536
Ndugu wanawake hasa mlioolewa nawaomba mtumie busara kutatua tatizo la kupungua nguvu za kiume za wapendwa wenu. Maana hamwezi kujua nini kimewapata wapendwa wenu mpaka washindwe kuimudu kazi waliyoitiwa kwenye ndoa. Wanawake wengine huanza kwa masimango, malalamiko na kejeli pale wanapoona wapendwa wao wameacha kufanction bila kuuliza kilichowasibu wapendwa wao. Mara nyingine ni ugonjwa unaweza kusababisha hali ya kuto nanii itokee hivyo hata wanaume wenyewe hushindwa kujua nini chanzo na mara nyingine hukosa ujasiri wa kuongea kwa wenza wao kwa sababu tendo la kutomlizisha mke ni very embarrassing. Mugonjwa wa kisukari ni vigumu kuugundua kuwa mme ameshaupata na unaweza kusababisha nguvu zipungue sana. Hivyo wanawake tumieni ustaarabu kutatua tatizo hilo na wenza wenu badala kuwabeza na kuwatukana

Kwa leo ni nimezungumzia, siku nyingine wanaume
 
Ndugu wanawake hasa mlioolewa nawaomba mtumie busara kutatua tatizo la kupungua nguvu za kiume za wapendwa wenu. Maana hamwezi kujua nini kimewapata wapendwa wenu mpaka washindwe kuimudu kazi waliyoitiwa kwenye ndoa. Wanawake wengine huanza kwa masimango, malalamiko na kejeli pale wanapoona wapendwa wao wameacha kufanction bila kuuliza kilichowasibu wapendwa wao. Mara nyingine ni ugonjwa unaweza kusababisha hali ya kuto nanii itokee hivyo hata wanaume wenyewe hushindwa kujua nini chanzo na mara nyingine hukosa ujasiri wa kuongea kwa wenza wao kwa sababu tendo la kutomlizisha mke ni very embarrassing. Mugonjwa wa kisukari ni vigumu kuugundua kuwa mme ameshaupata na unaweza kusababisha nguvu zipungue sana. Hivyo wanawake tumieni ustaarabu kutatua tatizo hilo na wenza wenu badala kuwabeza na kuwatukana

Kwa leo ni nimezungumzia, siku nyingine wanaume

heheeee umeongea kwa upole au ushakuwa victim mwenzetu
Pole sana
 
heheeee umeongea kwa upole au ushakuwa victim mwenzetu
Pole sana
Sijawa victim ila kuna mshikaji juzi amenisimlia jinsi alivyozodolewa na mke wake. Mme alijitahidi kujitetea wapi. Mwanamke ilifika mahali akaanza kutembea na wanaume wengine bila hata kumwogopa mmewe. Mme alijitahidi kwenda kwa madaktari ikaja kundulika kuwa ana kisukari. Mke kuja kupata taarifa ya chanzo cha tatizo alijuta kwanini alimsakama mmewe namna ile na kuanza kumfanyia vituko wakati tatizo lilompata mmewe hakujitakia na lilihitaji faraja na ukaribu wa mke ili kulitatua
 
Sijawa victim ila kuna mshikaji juzi amenisimlia jinsi alivyozodolewa na mke wake. Mme alijitahidi kujitetea wapi. Mwanamke ilifika mahali akaanza kutembea na wanaume wengine bila hata kumwogopa mmewe. Mme alijitahidi kwenda kwa madaktari ikaja kundulika kuwa ana kisukari. Mke kuja kupata taarifa ya chanzo cha tatizo alijuta kwanini alimsakama mmewe namna ile na kuanza kumfanyia vituko wakati tatizo lilompata mmewe hakujitakia na lilihitaji faraja na ukaribu wa mke ili kulitatua

Kweli inatia huruma
Tena ukifikiria hapo nyuma mmeshaapa kwa shida na raha mtakuwa pamoja
Ila ikitokea shida baasi kiapo kinavunjika
 
heheeee umeongea kwa upole au ushakuwa victim mwenzetu
Pole sana

Mkubwa in case you dont know.... tatizo hilo limeshakua kubwa sana katika jamii yetu kwa nyakati zetu hizi. Sijui Wizara ya Afya kama wamesha note janga hili?? That's a time bomb... and it's ticking!!!!
 
Sijawa victim ila kuna mshikaji juzi amenisimlia jinsi alivyozodolewa na mke wake. Mme alijitahidi kujitetea wapi. Mwanamke ilifika mahali akaanza kutembea na wanaume wengine bila hata kumwogopa mmewe. Mme alijitahidi kwenda kwa madaktari ikaja kundulika kuwa ana kisukari. Mke kuja kupata taarifa ya chanzo cha tatizo alijuta kwanini alimsakama mmewe namna ile na kuanza kumfanyia vituko wakati tatizo lilompata mmewe hakujitakia na lilihitaji faraja na ukaribu wa mke ili kulitatua

assume hilo tatizo lingekuwa limempata mwanamke.???m sure mwanaume pia angetafuta nyumba ndogo tena bila kujiuliza mara mbili...
ukisoma posti za humu utajua jinsi hili tatizo lingekuwa handled na mainfii wa humu...
we sema tuvumiliane na tukumbuke viapo vyetu wakati wa matatizo....wote(wanaume kwa wanawake)...
 
assume hilo tatizo lingekuwa limempata mwanamke.???m sure mwanaume pia angetafuta nyumba ndogo tena bila kujiuliza mara mbili...
ukisoma posti za humu utajua jinsi hili tatizo lingekuwa handled na mainfii wa humu...
we sema tuvumiliane na tukumbuke viapo vyetu wakati wa matatizo....wote(wanaume kwa wanawake)...

ndio maana nimesema kuwa wanaume tutawazungumzia wakati mwingine
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom