vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,231
Mlaji ndo ana mamlaka ya kuchagua chakula.Hii kauli unamruhusu na mkeo aitumie?
Mlaji ndo ana mamlaka ya kuchagua chakula.Hii kauli unamruhusu na mkeo aitumie?
Hauwezi kusema 'unampenda mpenzi wako sana' huku unashare haki yake na watu wengine.Daah hii fuckzone hutokea sana kwa wanaume wenye mke au GF anaempenda sana alafu anatokea mwanamke from no where. Sasa ili kulinda heshima ya kiume unaamua kumweka fuckzone afu hii fuckzone wanaweza kukaa ata Kumi Wala haina shida.
Ila akikuomba sio lazima umpe, na ukimpa usitegemee kitu chochote kutoka kwake kama malipo Livafan
Usijali nae akichoka kula maharage atakula chakula tofauti. Usipate taabu maana hutojua.Mlaji ndo ana mamlaka ya kuchagua chakula.
Kwani kuna mtu ambaye hajiuzi anayetoa penzi na kudai pesa Livafan?Nakubaliana na ww madam paula paul, lkn nanyi mtoe mizigo bila ku demand malipo ikitokea friendzone imevunjika na kuingia fucking zone.
Kitu usichokijuw hakiimuzi wala hakina impact yoyote ndo maana friend mechi lazima zipigwe kwa heshima zote bila ya mwenza wako kujuwa.Usijali nae akichoka kula maharage atakula chakula tofauti. Usipate taabu maana hutojua.
Ukikua utajua.Kitu usichokijuw hakiimuzi wala hakina impact yoyote ndo maana friend mechi lazima zipigwe kwa heshima zote bila ya mwenza wako kujuwa.
Labda nikue niote pembe sasa hahahaha.Ukikua utajua.
Kukua sio kuongeza idadi ya miaka tu.Labda nikue niote pembe sasa hahahaha.
Hahahah too old sio 🤣🤣🤣 we lea baai, wagha mume atambe.Am too old for this shit.
Mlaji ndo ana mamlaka ya kuchagua chakula.
Hahahah kuna mtu amenihack kwa kweli sio mimi huyo 🤣🤣🤣Wee Extrovert wee!...maneno yote yako haya baba
Niliiona baada ya kuwa nisham-quote.Haukusoma comment yake ya kwanza au?? Juu hao hawatomtamani kingono!!
Yeah, non of them are gay.. But If I have to choose a male friend, I would rather choose them but not the straight men as friends.I understand..
But u still said none of your friends are gay so a change of heart perhaps? Or it's simply cause of unavoidable circumstances?
Okay gotchu!Yeah, non of them are gay.. But If I have to choose a male friend, I would rather choose them but not the straight men as friends.
Niliiona baada ya kuwa nisham-quote.
Naelewa hofu yake Ila si wote tupo hivyo.... wapo wenye marafiki wa kike tangu wanavaa nepi mpk leo & hawajawahi kuonja hicho kilichokuwa kinafunikwa na hizo nepi abadan
Hakika! Si kitu rahisi pia..Hahahaha nimecheka hiyo sentensi yako ya mwisho,, by the way ni kweli siyo wote ila wanaume ambao hawako hivyo ni wachache sana wengi wao ndiyo kama hivyo unavyoona kwenye comments..
Mimi mwenyewe tu nimejionea kwa baadhi ya wanaume wa hapa JF walionifuata PM,, ndiyo maana wengi sipendi mazoea nao..
Thank you. Now can you tell me how this one works for you??Okay gotchu!