zanzsco
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 161
- 45
NIMEAMKA NA HII TOPIC KWASABABU NILIKUWA NAIWAZA JANA USIKU NA NAOMBA NIWASHIRIKISHE UZOEFU WANGU..... MMEAMKAJE WANA MMU?????????????
Bila kupoteza mda turejee kwa kichwa cha habari hapo juu, kuna mama mmoja ni jirani yetu maskani, sio siri ni mfano wa kuigwa kwani ni pillar ya familia kwani mmewe alistaafu wakati watoto ni wadogo sana baada ya haya kutokea na kupata kiinua mgongo kwa serikali alijenga nyumba ambayo wanaishi sasa na vyumba vya wapangaji na frame moja ya biashara.
Mkewe ni msusi mzuri na alianza kujifunza mda mfupi baada yaa kustaaf mumewe na akawa anasukia kibarazani bila saloon, ndani ya miaka kadhaa kama 5 yule mama akafungua saloon yake mtaji wake kwani mumewe full dependant.....
Kidogo kidogo ameanza kufuga kuku wa nyama na anauza balaa saloon ndo kama kachukua kitaa kwani ni msusi kweli...........
Sasa hivi ada ya watoto inatoka hapo + kodi za nyumba na wako chuo nafikiri mwaelewa ada na maisha ya chuo na anawasomesha private walikosa mkopo isipokuwa 1 alipata 60%.
MWENDA BURE SI MKAA BURE HUENDA AKAOKOTA.......
MSIWAKIMBIE WAUME WENU WHEN THINGS GETS ROUGH, IT IS THE TIME TO HOLD ONTO EACH OTHER AND ENDURE THE HARDSHIP BCOZ IT Z A TEMPORARY SITUATION!!!!!!!!!!!!!
BETTER IS NOT GOOD ENOUGH THE BEST IS YET TO COME....
ALWAYS BELIEVE THERE IS A BRIGHTER FUTURE AHEAD............... TAKE A STEP OF FAITH AND GET UP, THERE A WINDOW OPENED FOR YOU EVEN IF, ITS SEEMS ALL DOORS ARE CLOSED!!!!!!!
LOVE YOU ALL AND HAVE A BLESSED DAY!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bila kupoteza mda turejee kwa kichwa cha habari hapo juu, kuna mama mmoja ni jirani yetu maskani, sio siri ni mfano wa kuigwa kwani ni pillar ya familia kwani mmewe alistaafu wakati watoto ni wadogo sana baada ya haya kutokea na kupata kiinua mgongo kwa serikali alijenga nyumba ambayo wanaishi sasa na vyumba vya wapangaji na frame moja ya biashara.
Mkewe ni msusi mzuri na alianza kujifunza mda mfupi baada yaa kustaaf mumewe na akawa anasukia kibarazani bila saloon, ndani ya miaka kadhaa kama 5 yule mama akafungua saloon yake mtaji wake kwani mumewe full dependant.....
Kidogo kidogo ameanza kufuga kuku wa nyama na anauza balaa saloon ndo kama kachukua kitaa kwani ni msusi kweli...........
Sasa hivi ada ya watoto inatoka hapo + kodi za nyumba na wako chuo nafikiri mwaelewa ada na maisha ya chuo na anawasomesha private walikosa mkopo isipokuwa 1 alipata 60%.
MWENDA BURE SI MKAA BURE HUENDA AKAOKOTA.......
MSIWAKIMBIE WAUME WENU WHEN THINGS GETS ROUGH, IT IS THE TIME TO HOLD ONTO EACH OTHER AND ENDURE THE HARDSHIP BCOZ IT Z A TEMPORARY SITUATION!!!!!!!!!!!!!
BETTER IS NOT GOOD ENOUGH THE BEST IS YET TO COME....
ALWAYS BELIEVE THERE IS A BRIGHTER FUTURE AHEAD............... TAKE A STEP OF FAITH AND GET UP, THERE A WINDOW OPENED FOR YOU EVEN IF, ITS SEEMS ALL DOORS ARE CLOSED!!!!!!!
LOVE YOU ALL AND HAVE A BLESSED DAY!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!