Wanawake tuambieni: Hivi ukibakwa na kupata mtoto akaja kuwa Rais, utamshukuru mbakaji?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Nilikuta mjadala mkubwa mahali fulani watu wakijadili tukio ambalo ikitokea msichana akabakwa na kusababishiwa ujauzito, lakini mwisho wa siku mtoto akafanikiwa kuwa Rais wa nchi, na akamtunza vizuri mama yake, je mwisho wa siku huyo mwanamke atamshukuru mbakaji wake kwa kusababisha kupata mtoto ambaye ni Rais? Karibuni wanajamvi mtoe hisia zenu , hasa wanawake.
 
Huyo aliyebakwa atajivunia malezi yake yameweza kkufany matunda ya uovu na kuwa jambo jema.
 
Mtoto kuja kua fulani huko Mbeleni hakutegemei kua Mtoto huyo baba yake ni nani kwa sasa,
Bali malezi anayoyapata.

So mtoto akijakua Rais hapo baadae basi Mama inabidi ujivunie Malezi uliyompatia mtoto, sio sababu mimba ulipewa na nani. Sidhani kama kuna any scientific proof ku justify hii relationship kwenye hili.
 
Asante mkuu kwa kunikubali ubarikiwe mnooo ukiona umenitag sijareply jua notification kuna mda hazifiki
Acha nisambaze upendo coz duniani tupo kwa Muda tu,
Yaani huwa nikiingia JamiiForums kuna watu ambao huwa napenda Kusoma thread zao kuna Wewe Shunie kuna GENTAMYCINE huyu jamaa ninakubali sana kwa uandishi wake wa threae natamani siku moja nimuone hata kwa picha tu na mwingine ni huyu doctor MziziMkavu yaani nyinyi mnanifanya niipende JamiiForums
 
Acha nisambaze upendo coz duniani tupo kwa Muda tu,
Yaani huwa nikiingia JamiiForums kuna watu ambao huwa napenda Kusoma thread zao kuna Wewe Shunie kuna GENTAMYCINE huyu jamaa ninakubali sana kwa uandishi wake wa threae natamani siku moja nimuone hata kwa picha tu na mwingine ni huyu doctor MziziMkavu yaani nyinyi mnanifanya niipende JamiiForums
Mkuu
Asante sana tunakupenda pia barikiwa sana sana jf hatujuani lakini tunaishi kama ndugu ashukuriwe sana Melo kwa kutuletea jamii forum
 
Huyo aliyebakwa atajivunia malezi yake yameweza kkufany matunda ya uovu na kuwa jambo jema.
Mafanikio ya kitaaluma siyo matokeo ya malezi peke yake. Pia ni kutokana na vinasaba toka kwa baba! Huyo mbakaji alikuwa na akili sana na hivyo mtoto wake pia akawa na akili kama yeye.
 
Mtoto kuja kua fulani huko Mbeleni hakutegemei kua Mtoto huyo baba yake ni nani kwa sasa,
Bali malezi anayoyapata.

So mtoto akijakua Rais hapo baadae basi Mama inabidi ujivunie Malezi uliyompatia mtoto, sio sababu mimba ulipewa na nani. Sidhani kama kuna any scientific proof ku justify hii relationship kwenye hili.
Usisahau nafasi ya vinasaba kwenye mafanikio ya mtu. Vinasaba toka kwa baba vinachangia intellect ya mtu. Lakini pia habari haijasema mama ndiye aliyemlea mtoto mpaka mwisho. Je kama wazazi wa mbakaji ndo walibeba jukumu la kumlea na kumsomesha mtoto na mwisho wa siku akawa raisi hapo unasemaje?
 
Mtoto kuja kua fulani huko Mbeleni hakutegemei kua Mtoto huyo baba yake ni nani kwa sasa,
Bali malezi anayoyapata.

So mtoto akijakua Rais hapo baadae basi Mama inabidi ujivunie Malezi uliyompatia mtoto, sio sababu mimba ulipewa na nani. Sidhani kama kuna any scientific proof ku justify hii relationship kwenye hili.
Yap ni MUTUALLY EXCLUSSIVE but Kwani hiyo sperm ya nani? Bi dada?
 
Mafanikio ya kitaaluma siyo matokeo ya malezi peke yake. Pia ni kutokana na vinasaba toka kwa baba! Huyo mbakaji alikuwa na akili sana na hivyo mtoto wake pia akawa na akili kama yeye.
Umekosea pakubwa tu ila ngoja nikurekebishe mtoto anarithi akili kutoka kwa mama na si baba so ukioa mwanamke ambaye kichwani hayuko vizuri hata kama una akili kiasi gani jua basi na mtoto atatoka hana kitu kwa kichwa sawa na mama yake.
Kwa kuwa imethibitishwa kuwa ubongo wa mwanamke huwa unasinyaaa pindi anapokuwa mjamzito hiyo kupelekea mama huyo kupungukiwa kiwango cha gray matter kilichopo ndani ya ubongo ------> kwenda kwa mtoto .SO MKUU KAMA UMEPATA TOTO KILAZA JUA ULICHAGUA MKE KILAZA
Pia note that: AKILI SI LAZIMA YA DARASANI .
 
Mtoto kuja kua fulani huko Mbeleni hakutegemei kua Mtoto huyo baba yake ni nani kwa sasa,
Bali malezi anayoyapata.

So mtoto akijakua Rais hapo baadae basi Mama inabidi ujivunie Malezi uliyompatia mtoto, sio sababu mimba ulipewa na nani. Sidhani kama kuna any scientific proof ku justify hii relationship kwenye hili.
Umejibu vema sanaaaaa
 
Mafanikio ya kitaaluma siyo matokeo ya malezi peke yake. Pia ni kutokana na vinasaba toka kwa baba! Huyo mbakaji alikuwa na akili sana na hivyo mtoto wake pia akawa na akili kama yeye.
Mtoto huridhi vinasaba % kubwa toka kwa mama si baba
 
kubaka ni jambo jingine....na Mtoto kuwa rais ni jambo jingine
That means kama asingebakwa basi asingepata mtoto na pia kama asingepata mtoto that means kusingekuwa na rais hapo so matokeo ya kubakwa yameleta mimba ambayo mimba hiyo imekuja kuwa mtoto ambapo mtoto huyo kutokana na uchungu wa mama , na baba kakimbia na pia akikumbuka alivyobakwa akaaamua kumsomesha mwanawe kwa uchungu mkubwa na pia akamwambia kahistoria kidogo dogo akapata uchungu na kusoma kwa bidii mwisho akaja kuwa raisi so kutokea kwa event moja kumepelekea matokeo ya event nyengine ambapo conclusion ni mtoto kawa raisi that means bila kubakwa kusingekuwa na raisi.hivyo basi matokeo ya event moja yamepelekea matokeo ya mwisho uraisi so kuna kutegemeana katika matukio hayo hii kimahesabu tunaita MUTUAL DEPENDENT EVENT . KWA KWELI ITABIDI MUMSHUKURU MBAKAJI KWA KUWA HESABU HAIDANGANYI.
 
Back
Top Bottom