DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Natafuta girlfriend ambaye ataelekea kuwa mke panapo majaaliwa...
SIFA ZANGU:Mimi ni mwajiriwa wizara ya mambo ya ndani,kipato cha kawaida!
Umri miaka 24
Nipo mbeya ndipo ninapoishi kwa sasa ila home ni DSM,
pia nipo mzumbe tawi la mbeya mwaka wa3 nachukua LAW...
SIFA NINAZOZITAKA: sichagui dini wala kabila,
elimu atleast form 4 ila kikubwa ajielewe!
Umri miaka 18-22
KARIBUNI.....niPM
SERIOUS
SIFA ZANGU:Mimi ni mwajiriwa wizara ya mambo ya ndani,kipato cha kawaida!
Umri miaka 24
Nipo mbeya ndipo ninapoishi kwa sasa ila home ni DSM,
pia nipo mzumbe tawi la mbeya mwaka wa3 nachukua LAW...
SIFA NINAZOZITAKA: sichagui dini wala kabila,
elimu atleast form 4 ila kikubwa ajielewe!
Umri miaka 18-22
KARIBUNI.....niPM
SERIOUS