Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

Ni rahisi kutoa majibu ya mkato.

Laki, ili kupata matibabu kamilifu ni vyema mgonjwa akafika hospitali. Kuna maswali ya msingi ambayo daktari atapenda kuuliza ili kupata jibu mwafaka.

Mfano:
Harufu mbaya inafanana na nini?
Kuna mchanganyiko kama maziwa ya mgando?
Ametibiwa mara ngapi tatizo husika?
Mhusika anafanyaje usafi kwa sehemu husika na hutumia nini kujisafisha?
Mwenendo wake wa mahusiano ukoje?

Hayo hapo juu yatamsaidia daktari kufanya maamuzi. Pia anaweza shauri kufanya vipimo zaidi ili kutoa matibabu sahihi.

Ni vyema kutorahisisha dalili za mgonjwa na kutibia tu kwa kulinganisha kuwa siku zote ikitokea hiki jibu ni moja.

Ahsanteni.
 
Mkuu lukonge kama kunatoa harufu na mchanganyiko kama maziwa mgando ishu ni nini na medication ni aje. Ni pm plz
 
Chukua maziwa ya mgando au yughot awe anaweka Ile ni dawa tosha
 
Habari wapendwa,

Nina rafiki yangu ambae aliconcive mwezi mmoja uliopita lakini ndani ya siku 5 tangia aconcive aliona damu inatoka kama siku mbili mbele tukaamua twende hospital kwa doctor.

Akatuambia mimba imeharibika na inabidi asafishwe basi akamsafisha na baada ya hapo akampa vidonge vya kumeza ndani ya kama siku 3 akaanza kubleed tena tukarudi kwa doctor.

Akampa dawa aina ya Trinidazole na ciplo ila mpka amemaliza hivo vidonge akaendelea kubleed tukashauriana tuhame hospital huko tukamweleza doctor.

Akatujibu hakusafishwa vizuri hivo inabidi asafishwe tena akamsafishwa na uchafu ukatoka akamwambia achome powerself 4 kila siku moja akachoma ila akaendelea kuona damu japo ni kidogo.

Doctor akamwambia inabidi unywe dawa za kukata damu akampa primoult na kanywa kwa mda wa siku 5 ila alipokuwa anakunywa izo dawa damu ilikata akawa anaona spot ya fluid kama ya grey.

Baada ya kumaliza jana damu imetoka tena kwa wingi kuliko ilivokuwa mwanzo kidogokidogo akampigia doctor kumweleza akamjibu kuwa alikosewa kuatendiwa awali hivo basi hali kama hiyo ataiona mpka pale atakapopata bleed yake ya menstruation.

Je, wapendwa hiyo ni hali kawaida au? Msaada kwenye tuta
 
Habari wapendwa,

Nina rafiki yangu ambae aliconcive mwezi mmoja uliopita lakini ndani ya siku 5 tangia aconcive aliona damu inatoka kama siku mbili mbele tukaamua twende hospital kwa doctor.

Akatuambia mimba imeharibika na inabidi asafishwe basi akamsafisha na baada ya hapo akampa vidonge vya kumeza ndani ya kama siku 3 akaanza kubleed tena tukarudi kwa doctor.

Akampa dawa aina ya Trinidazole na ciplo ila mpka amemaliza hivo vidonge akaendelea kubleed tukashauriana tuhame hospital huko tukamweleza doctor.

Akatujibu hakusafishwa vizuri hivo inabidi asafishwe tena akamsafishwa na uchafu ukatoka akamwambia achome powerself 4 kila siku moja akachoma ila akaendelea kuona damu japo ni kidogo.

Doctor akamwambia inabidi unywe dawa za kukata damu akampa primoult na kanywa kwa mda wa siku 5 ila alipokuwa anakunywa izo dawa damu ilikata akawa anaona spot ya fluid kama ya grey.

Baada ya kumaliza jana damu imetoka tena kwa wingi kuliko ilivokuwa mwanzo kidogokidogo akampigia doctor kumweleza akamjibu kuwa alikosewa kuatendiwa awali hivo basi hali kama hiyo ataiona mpka pale atakapopata bleed yake ya menstruation.

Je, wapendwa hiyo ni hali kawaida au? Msaada kwenye tuta

Hiyo Sio Kawaida.


Ni vifungo vya pepo wa Mahaba..inaendelea. kumsumbua. anahitaji kufunguliwa. nitakupa namba ya Mtu amwombee kama upo tayari. ni inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom