Dillish wa kwetu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 227
- 116
Kama unanuka utakuwa sio utoko labda ni fangasi mwambie aende hospital....mwambie pia awe anajiswafi huko chini jamani,hiyo aibu siiwezi...mweeee.
Siyo kazi yake hiyo!
Kama unanuka utakuwa sio utoko labda ni fangasi mwambie aende hospital....mwambie pia awe anajiswafi huko chini jamani,hiyo aibu siiwezi...mweeee.
Hukuingia chumvini kweli..???Kuna binti mrembo wa haja maringo meeeeeeengi.
Baada ya kumpigia misele sana, alikubali. Siku ya kwenda kula tunda la mti wa kati nilihisi kutapika! Baada ya kuwasha gari kama dakika 5 hivi, ulianza kutoka utando mweupe kama vile mtoto mchange amecheua au matapishi ya kuvimbiwa "maziwa mgando".
Huo uchafu ulikuwa unanuka (harufu mbaya). Yeye alidai kwamba alikuwa hajapata hiyo kitu siku nyingi sana.
Nilipokutana naye baada ya siku kadhaa, hali ya uchafu ni ule ule!
Kuna jamaa wameniambia inawezekana huyo shi anatumia panadol wakati wa siku zake. Nilipomuuliza binti amekataa matumizi ya panadol.
Kwasasa huo uchafu haunuki ila upo!!
Hii kitu inasababishwa na nini?
Maziwa mgando a.k.a mtindi....Kwanini?
End of qualitative analysis, kwi kwi kwi kwi kwiiiiiwhite ppt occurs!! calcium carbonate present!
Kuna binti mrembo wa haja maringo meeeeeeengi.
Baada ya kumpigia misele sana, alikubali. Siku ya kwenda kula tunda la mti wa kati nilihisi kutapika! Baada ya kuwasha gari kama dakika 5 hivi, ulianza kutoka utando mweupe kama vile mtoto mchange amecheua au matapishi ya kuvimbiwa "maziwa mgando"...
....Kipi sasa, maana #Kifo au #Vifo vipo vya aina nyingi, kifo cha
#UtandoMweupe pia ni aina mojawapo ya Kifo.
In-short nataka tu kukwambia Kifo hakikwepeki, lakini aina ya kifo
ni #chaguo lako either kwa Makusudi au Bahati mbaya.
white ppt occurs!! calcium carbonate present!
hahahaaaaa usinichekeshe mie......
Aisee...........Mngeenda hospitali pia kujua shida ni nini inawezekana na Infenctions
Ila kama hauna harufu inaweza kuwa normal......nadhani kitu muhim awe anajisafisha vizuri huko chini....
wakisema mwanamke usafi sio kupaka wanja na shedo jamani ni pamoja na kujiswafi maungo yetu.....
ukiwa wajisafisha shurti kidole kiingie mle ndani kwa ufasaha na utaona hata K inatyt kabisa baada ya kujiswafi..
Haki, nimechekaaaaaaaaa, mbavu za niumaaa, khaaa kweli hili ni jamvi la SARAKASI.
Yaaaaani baada ya kazi, hua nacheka na JAMII FORUMS!!!!!!!!