Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,179
Wanabodi,
Nimeiangalia hii picha ya wanawake hawa wa wenzetu, na age zao, nikajiuliza sana kuhusu sisi Tanzania na wanawake wetu katika nafasi za uongozi wa kisiasa, tatizo ni nini?.
Jee wanawake wetu Tanzania ni duni au dhaifu Kiongozi wa siasa?. Kama wanawake wetu si duni na si dhaifu na wana uwezo wa uongozi sawa na wanaume, hizi nafasi za Viti Maalum ni za nini?, je Tanzania tumefika mahali nafasi hizi za Viti Maalum zifutwe?
Hivi hawa baadhi ya wanawake wetu wenye nafasi za juu za uongozi wa kisiasa, wamepata nafasi hizo by deserving au kwa kubebwa na affirmative action?.
Kama watu wawili mna uwezo sawa, kwa nini mmoja afanyiwe upendeleo wa kijinsia kwasababu tuu ya jinsia yake?.
Wanawake ni mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, wapenzi wetu, dada zetu, watoto wetu, ni wenzetu na tunawapenda sana, lakini huu upendeleo kwa wanawake lengo lake ni nini haswa, jee hapa tulipofika, bado wanawake wetu wanahitaji upendeleo?.
Paskali
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! - JamiiForums
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Siku ya Wanawake Duniani: Tuwakumbuke Top Ten Wanawake Wakurugenzi Wakuu Wa Taasisi Kubwa - JamiiForums
Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?
Wanawake Tanzania ni Duni/Dhaifu Kiongozi , Kama Si Duni/Dhaifu na Wana Uwezo Sawa na Wanaume, Viti Maalum Vya Nini?
Nimeiangalia hii picha ya wanawake hawa wa wenzetu, na age zao, nikajiuliza sana kuhusu sisi Tanzania na wanawake wetu katika nafasi za uongozi wa kisiasa, tatizo ni nini?.
Jee wanawake wetu Tanzania ni duni au dhaifu Kiongozi wa siasa?. Kama wanawake wetu si duni na si dhaifu na wana uwezo wa uongozi sawa na wanaume, hizi nafasi za Viti Maalum ni za nini?, je Tanzania tumefika mahali nafasi hizi za Viti Maalum zifutwe?
Hivi hawa baadhi ya wanawake wetu wenye nafasi za juu za uongozi wa kisiasa, wamepata nafasi hizo by deserving au kwa kubebwa na affirmative action?.
Kama watu wawili mna uwezo sawa, kwa nini mmoja afanyiwe upendeleo wa kijinsia kwasababu tuu ya jinsia yake?.
Wanawake ni mama zetu, shangazi zetu, wake zetu, wapenzi wetu, dada zetu, watoto wetu, ni wenzetu na tunawapenda sana, lakini huu upendeleo kwa wanawake lengo lake ni nini haswa, jee hapa tulipofika, bado wanawake wetu wanahitaji upendeleo?.
Paskali
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! - JamiiForums
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Siku ya Wanawake Duniani: Tuwakumbuke Top Ten Wanawake Wakurugenzi Wakuu Wa Taasisi Kubwa - JamiiForums
Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?
Wanawake Tanzania ni Duni/Dhaifu Kiongozi , Kama Si Duni/Dhaifu na Wana Uwezo Sawa na Wanaume, Viti Maalum Vya Nini?