Nafasi za kisiasa kushikwa na wanaume ni uboya hizi ni kazi za wanawake, unakuta mbunge kama Msukuma eti anaonekana jembe kuliko mwanamke engineer na daktari, huu ni upuuzi mkubwa na kuna ubunge wa kuteuliwa rais ana viti kumi vya kumpa amatake na kuna wanaume wamepewa nao ni dhaifu?