Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
15,863
35,203
Kuna dada mmoja miaka kama kumi iliyopita alikuwa moto wa kuotea mbali kila nilipojaribu kutupa ndoana alikuwa ananitolea nje,uzuri tuliendelea kuwasiliana kwa simu kwa muda wote,kwenye whatsap alikuwa haweki picha yake,juzijuzi baada ya kuwa mpweke nikamkumbuka nikaanza kumpigia simu ili tuonane akawa ananichenga,juzi nikakomaa mpaka nikaenda kwake huko.

Nikastuka mpaka yeye akanistukia,mtoto alikuwa na tako la haja guu guu,pajapaja leo nikakutana na miss 1GB mwembamba kama uzi supu yote hakuna kilichofanya nimkumbuke ni sura na sauti,sijui mwili umeenda wapi,tangu juzi sijampigia tena na simtaki tena.

Kweli wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana yule hata ukiongozana nae watu watasema unatembea na shangazi yako dada wa baba yako na hapo bado hajazalishwa,akizaa itakuwaje kila akinipigia sipokei.
 
malizia basi story. ukakaa kwake akapika mkala kisha ukagonga ukasepa zako, sasa akikupigia hupokei.
Alafu mwanamke mtu mzima hujaonana nae miaka kumi kisha unataka umkute kama alivyokua miaka kumi ilopita? hujui kuna masahibu gani yalomkuta hapo katika kipindi hicho.

kupungua mwili sio ishu inawezekana kaamua kufnya dayati ili aendani na kasi ya maisha ya kisasa au alikuwa anafukuzia bwana wa kizungu na unajua wazungu wao hawataki manyama, au mambo ya kisukari na vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha kushisha uzito kwa kiwango kikubwa sana.
 
Dah! hata mimi ishawahi nikuta hasa kwa madem niliosoma nao like 8 years ago yaani walikuwa ni moto wa kuotea mbali yaani nikiwaona moyo ulikuwa unaniripuka ile mbaya! chakushangaza wamechuja ile mbaya na mbaya zaidi bado wanajiona warembo eti! wakati sisi wanaume ndio kwanza tuna wapata wa binti wadogo wadogo so sielewi sisi hatuchuji kivile fasta au nikwasababu ya mkwanja!
 
Dah! hata mimi ishawahi nikuta hasa kwa madem niliosoma nao like 8 years ago yaani walikuwa ni moto wa kuotea mbali yaani nikiwaona moyo ulikuwa unaniripuka ile mbaya! chakushangaza wamechuja ile mbaya na mbaya zaidi bado wanajiona warembo eti! wakati sisi wanaume ndio kwanza tuna wapata wa binti wadogo wadogo so sielewi sisi hatuchuji kivile fasta au nikwasababu ya mkwanja!
Yaani ndugu uanaume raha sana mimi hapa ninaweza kutoka na msichana wa miaka 20 na tukaenda sawa ila huyu dada kanishangaza
 
malizia basi story. ukakaa kwake akapika mkala kisha ukagonga ukasepa zako, sasa akikupigia hupokei.
Alafu mwanamke mtu mzima hujaonana nae miaka kumi kisha unataka umkute kama alivyokua miaka kumi ilopita? hujui kuna masahibu gani yalomkuta hapo katika kipindi hicho.

kupungua mwili sio ishu inawezekana kaamua kufnya dayati ili aendani na kasi ya maisha ya kisasa au alikuwa anafukuzia bwana wa kizungu na unajua wazungu wao hawataki manyama, au mambo ya kisukari na vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha kushisha uzito kwa kiwango kikubwa sana.
nilikuwa nimejipanga nilimlia supu ya pweza na karanga mbichi wiki nzima nikala ugali na vingine nikala pia japo kwa shino upande,afu dada wa watu ana maisha mazuri sana huwezi amini lakini du supu hakuna ujue kuna tofauti ya kuwa mwembamba na kukongoroka,yule kakongoroka
 
Kuna dada mmoja miaka kama kumi iliyopita alikuwa moto wa kuotea mbali kila nilipojaribu kutupa ndoana alikuwa ananitolea nje,uzuri tuliendelea kuwasiliana kwa simu kwa muda wote,kwenye whatsap alikuwa haweki picha yake,juzijuzi baada ya kuwa mpweke nikamkumbuka nikaanza kumpigia simu ili tuonane akawa ananichenga ,juzi nikakomaa mpaka nikaenda kwake huko ..... nikastuka mpaka yeye akanistukia,mtoto alikuwa na tako la haja guu guu,pajapaja leo nikakutana na miss 1GB mwembamba kama uzi supu yote hakuna kilichofanya nimkumbuke ni sura na sauti,sijui mwili umeenda wapi,tangu juzi sijampigia tena na simtaki tena ,kweli wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana yule hata ukiongozana nae watu watasema unatembea na shangazi yako dada wa baba yako na hapo bado hajazalishwa ,akizaa itakuwajekila akinipigia sipokei,
HAPO KICHWA CHA CHINI NDO KINAANDIKA ..................................
 
Wa kaka ndio msiseme.
Mkiwa chuoni mko poa kweli. Mna afya nzuri
Mko fit miaka minne baada ya chuo mkisha anza
Kupokea shilingi vitambi, mikanda ya viatu shida
Kufunga.

Hili tatizo liko kwa wote.
Kwa hiyo mtutolee uvivu hapa .
dalili ya mafanikio kwa afrika ni kitambi japosikifagilii na sina huo uvimbe,ila kukongoroka kule hapana
 
Wa kaka ndio msiseme.
Mkiwa chuoni mko poa kweli. Mna afya nzuri
Mko fit miaka minne baada ya chuo mkisha anza
Kupokea shilingi vitambi, mikanda ya viatu shida
Kufunga.

Hili tatizo liko kwa wote.
Kwa hiyo mtutolee uvivu hapa .
Sasa mbona tukiwa Chuoni inakuwa madem wanazingua ila tukimaliza inakuwa nishidaa yaani vibiti vinajilengesha ile mbayaa au ndio tumeongezeka mvuto kutokana na hivyo vitambi! au ndio kutesa kwa zamu kwaiyo ni zamu yetu kutesa! ila apana madem mnachuja sana!
 
Kuna dada mmoja miaka kama kumi iliyopita alikuwa moto wa kuotea mbali kila nilipojaribu kutupa ndoana alikuwa ananitolea nje,uzuri tuliendelea kuwasiliana kwa simu kwa muda wote,kwenye whatsap alikuwa haweki picha yake,juzijuzi baada ya kuwa mpweke nikamkumbuka nikaanza kumpigia simu ili tuonane akawa ananichenga ,juzi nikakomaa mpaka nikaenda kwake huko ..... nikastuka mpaka yeye akanistukia,mtoto alikuwa na tako la haja guu guu,pajapaja leo nikakutana na miss 1GB mwembamba kama uzi supu yote hakuna kilichofanya nimkumbuke ni sura na sauti,sijui mwili umeenda wapi,tangu juzi sijampigia tena na simtaki tena ,kweli wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana yule hata ukiongozana nae watu watasema unatembea na shangazi yako dada wa baba yako na hapo bado hajazalishwa ,akizaa itakuwajekila akinipigia sipokei,
Unauliza mwili umeenda wapi! Mwambie akapime jibu utalipata mkuu
 
Sasa wewee baada ya miaka kumi ulitegemea umkute yupo hivyo hivyo kwani ye jiwe? hiyo miaka hata kama mtoto yupo dalasa la nne. Sembuse mtu mzima ambaye ndani ya miaka kumi kashapitia mambo kibaoo. Mambo mengine Muwage mnawaza kabla hamjaandika humu.
 
Sasa mbona tukiwa Chuoni inakuwa madem wanazingua ila tukimaliza inakuwa nishidaa yaani vibiti vinajilengesha ile mbayaa au ndio tumeongezeka mvuto kutokana na hivyo vitambi! au ndio kutesa kwa zamu kwaiyo ni zamu yetu kutesa! ila apana madem mnachuja sana!
Hivi wanachujaje jaman ongeeni vzr ati, loooh
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom