luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,868
Embu leo tutoe nafasi kwa wadada watuambie hapa wanapenda kuolewa na mwanaume wa namna gani.
Mimi nafuatilia hapa
Mimi nafuatilia hapa
Ningekuwaa sina pesa unafikiri ningenunua bando ?TAFUTA PESA MKUU ........PUNGUZA KELELE
Men
Nalog of
Mkuu umeacha ugoro
ASAPNikikuambia utanipa huyo mwanaume?
Nini hiki
Ni neno ilo wala sio bomuNini hiki
😊😊 Hati zangu zote izo apo mshahara 40/100 iyo apo ata kabla hujaulizaAnkara ndo habari ya mjini utapewa Hadi vya uvunguni, huna 💸 unakaa kushoto
Upewe mara ngapi sasaNikikuambia utanipa huyo mwanaume?
Hapo lazima upew lugha zote nzuri na laini😊😊 Hati zangu zote izo apo mshahara 40/100 iyo apo ata kabla hujauliza
"Baby nipe kimoja Cha fasterfaster"
Natamani ningekuwa na jeuri ya kukuachaUpewe mara ngapi sasa
Umeniacha?
Khaaa wee mwanamke, ili uniache vzuri eeehhhNatamani ningekuwa na jeuri ya kukuacha
Njoo tulale Dear, leo nmelala uchi . Sijui macho yako yataanza kutua wapiNatamani ningekuwa na jeuri ya kukuacha
NdioKhaaa wee mwanamke, ili uniache vzuri eeehhh