Ngoja tusubiri yatayojiri kwenye sensa hii,tuanze kuyafanyia kazi maandiko matakatifuHuu ni utabiri wa nabii Isaya,nadhani unaonyesha hali halisi kwenye sensa ya watu
wote mtashindana nao, kugombania wanaume. Utajikuta upo ukewenza na shoga, yani shoga anakuwa mke mwenzako.Na mashoga watasemaje
“Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.Habarini za leo wanajamvi
Wanawake Saba watamshika mtu mume mmoja wakisema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu lakini niitwe kwa jina lako inamaana gani kwenye isaya 4:1.
Hebu mwenye kuelewa jamani, atuelezee nini maana yake
Mkuu kwa nini usiende kwa mchungaji wako au shemasi, atakufafanulia vizuri zaidiHabarini za leo wanajamvi
Wanawake Saba watamshika mtu mume mmoja wakisema tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu lakini niitwe kwa jina lako inamaana gani kwenye isaya 4:1.
Hebu mwenye kuelewa jamani, atuelezee nini maana yake
Mkuu kumbe huku napo uko vizuri sana!Kitabu cha lsaya ni cha unabii, kiliandikwa kwa mifano. Kwa ufupi ni hivi.
Mwanamke inawakilisha kanisa
Mume inawakilisha Mungu
Chakula inawakilisha neno la Mungu
Hivyo Basi,anaamnisha kwamba,siku hiyo ya mwisho wa Dunia,patachipuka makanisa(wanawake) mengi ambayo Yao wenyewe waliojitungia(chakula)huku yakijificha kwa jina la Mungu(mume).
Pia,maana ya saba ni idadi timilifu yaani nyingi Sana kwa kiasi isiyoweza kujulikana idadi.