BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
huwa sielewi mwanamke anapopewa jukumu la kulea mtoto ambaye si wake (namaanisha mama wa kambo) anakua na roho ya tofauti (mbaya)....
ni mara chache unasikia mtoto anaelelewa na mama wa kambo akawa na raha katika maisha!...
huwa ni fujo mvutano mafarakano kusingiziana,ili mtadi tu kupanda na kushuka kwa majambo!...
je haiwezekani mtoto na mama wa kambo kuishi pasi majungu na mivutano???
je baba wa mtoto nae ana nafasi gani katika hili sekeseke?
GTs your highness!.
ni mara chache unasikia mtoto anaelelewa na mama wa kambo akawa na raha katika maisha!...
huwa ni fujo mvutano mafarakano kusingiziana,ili mtadi tu kupanda na kushuka kwa majambo!...
je haiwezekani mtoto na mama wa kambo kuishi pasi majungu na mivutano???
je baba wa mtoto nae ana nafasi gani katika hili sekeseke?
GTs your highness!.