Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Hivi inakuwaje ukiwa unamtongoza Demu na akiona upo serious sana anaanza kuringa Mara hajibu sms Mara hapokei Simu lakini ukiamua kumpotezea anaanza kujirudi kwa heshima tena na 18 anaachia!
Mbona nyie viumbe hamueleweki
Mbona nyie viumbe hamueleweki