gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Ndio maana nikasema analipa kwa sababu ya PR tu maana ela yetu tunachanga Lol.
Ukizingatia tayari niko powerful nsipojishusha kwenye kadamnsasi kwa mila za kiafrika mume anaweza kudharauliwa. Lol.
sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?